ISHU YA KUTOKA NA BLATTER, COOPER AMTOSA IRINA
![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdDrMqLt05XXtOdFnGF2Jhp9ZXxCVgUUlreyrc*5ZqjT7J*HXnV36iYwXTBpqySt5cHKSwHf9sfJh1lqtyg3Gdf/bradleycooperandirinashayk.jpg?width=650)
Mpenzi wa modo Classic, Irina Shayk, Bradley Cooper. Zurich, Uswiss SIKU chache baada ya kuhusishwa kutoka kimapenzi wa aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, mpenzi wa modo Classic, Irina Shayk, Bradley Cooper ameonekana kumpiga chini kwenye sherehe za utoaji tuzo. Bradley Cooper akiwa na mpenzi wake Irina Shayk. Irina alidumu kwenye uhusiano na mshambuliaji wa Real… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz)
Maamuzi haya yalikuwa yakisubiriwa na wengi Dar es Salaam, na kwa sababu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliahidi kwamba maamuzi yanatoka leo, macho na masikio ya wengi yalielekea huko kwa siku nzima. Zoezi la bomoabomoa lilianza mwishoni mwa 2015, likasimamishwa kwa muda alafu taarifa ikatoka kwamba zoezi litaendelea leo Januari 5 2015, lakini […]
The post Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
10 years ago
Bongo Movies04 Sep
Wema sepetu azungumzia ishu ya kuajiriwa na kajala. Mpenzi wake kutoka na mtu mwingine na bifu zake.
Mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.
Kupitia You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye [Wema]. Wema Sepetu akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
5 years ago
The Guardian14 Feb
Bradley Cooper lined up to play Barry Gibb in Bee Gees biopic
10 years ago
Mtanzania11 Oct
Jaydee amtosa Gardner
Na Waandishi Wetu
MTANGAZAJI maarufu wa redio, Gardner G. Habash kwa mara ya kwanza amefichua ukweli wa makubaliano waliyofikia na mwanamuziki maarufu nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ ya kutozungumza na vyombo vya habari kuhusu taarifa zinazodai kuvunjika au kutengana kwao kindoa.
Wakati Gardner akisita kueleza bayana kuhusu taarifa za kutengana kwake na Jide, taarifa ambazo gazeti hili limezithibitisha zinaeleza kwamba tayari mwanamuziki huyo ameshamuondoa ‘mumewe’ huyo katika nafasi ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Mangula amtosa Lowassa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula, amemtosa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa katika harakati zake za kuwania urais. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Mbeya jana, Mangula...
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Je Irina na Ronaldo wametengana?
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Kocha Yanga amtosa Adebayor