Komba awavuruga Lowassa, Membe, Ngeleja, Mwigulu.
Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa katika harakati za kuwania nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu, wameelezea masikitiko yao juu ya kifo cha Mbunge wa Mbinga, John Komba na kueleza namna marehemu alivyokuwa amejiandaa kuwatungia nyimbo za kampeni.
Makada hao ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa na Mbunge wa Sengerema, William...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s72-c/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-7LpErGbzI4I/VeFJL4wOzUI/AAAAAAAA0Io/mpZjIh6PSr0/s640/mwakyembe.jpg)
Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ngeleja, Chegeni wambeza Lowassa
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC
Christopher Gamaina
11 years ago
Habarileo14 Feb
Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa
AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
VIDEO: Membe asema Komba alikuwa shuhuda kwenye mgogoro wa mipaka
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Mhe. Beranard Membe akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Capt. John Komba.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-tZO2p6odb54/VPMdnOIA7UI/AAAAAAAAXTQ/Tq6c-r5lPcQ/s72-c/026.jpg)
MEMBE ASEMA KAPTENI JOHN KOMBA ALIKUWA SHUHUDA WA MGOGORO ZIWA NYASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-tZO2p6odb54/VPMdnOIA7UI/AAAAAAAAXTQ/Tq6c-r5lPcQ/s1600/026.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Lowassa, Sumaye, Ngeleja wajieleza Kamati ya Mangula
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Lowassa, Membe yametimia
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Okwi awavuruga Simba
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Lowassa, Membe waitesa CCM