Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASKINI SAUDA MWILIMA AJIFUNGUA MTOTO, AFARIKI DUNIA

Musa Mateja HUZUNI! Mtangazaji mahiri wa Kituo cha Televisheni cha Star TV, Sauda Mwilima hivi karibuni alipatwa na majonzi mazito baada ya kujifungua mtoto kwa upasuaji ambaye kesho yake alipoteza maisha, akimuacha akiwa hoi kitandani....Soma zaidi===>http://goo.gl/i2BnFM

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SAUDA MWILIMA ANUSA KIFO

Stori: Musa Mateja na Gladness Mallya
MUNGU mkubwa! Mtangazaji wa Star Tv, Sauda Mwilima amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari maeneo ya Mlimani City jijini Dar es Salaam wikiendi iliyopita. Mtangazaji wa Star Tv, Sauda Mwilima. Ajali hiyo ilitokea katika mataa ya kuongozea magari yaliyopo maeneo hayo ambapo lori lilikosea njia na kugonga gari lake aina ya Toyota Ipsum na kuharibika huku mwenyewe akipata majeraha...

 

10 years ago

GPL

SAUDA MWILIMA AANIKA NIDO ZAKE

Na  Shani Ramadhani/Uwazi
MTANGAZAJI wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima ‘Mwarabu wa Kigoma’ juzikati alionekana akiwa ameachia nido zake ukumbini. Mtangazaji wa kituo kimoja cha runinga nchini, Sauda Mwilima akipozi kwenye 'Red Carpet'. Tukio hilo lilitokea katika Ukumbi wa Escape One, jijini Dar ambapo Sauda alikuwa ameambatana na mumewe, Kauli Juma huku sehemu ya kifua chake ikiacha nido zake...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA SAUDA MWILIMA SASA NI SHIDA!

Stori: Gladness Mallya Oooh nooo! Miaka miwili baada ya kufunga pingu za maisha (ndoa) na mwanaume aitwaye Kauli Juma, imefichuka kwamba ndoa ya prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima ina shida kwani haishi na mumewe, ikidaiwa kwamba kila mmoja anaishi nchi tofauti na mwenzake. Prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima akiwa na mume wake, Kauli Jumasiku ya harusi yao. Kikizungumza na Ijumaa Wikienda, chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu...

 

11 years ago

GPL

‘SAUDA MWILIMA ACHA MKOROGO’

Kama kawa wiki iliyopita tulimleta kwenu prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima ambapo mlimuuliza maswali anayoyajibu wiki hii. UNGANA NAYE… VIPI Prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima. KUHUSU BANGI?
Nasikia wakati unasoma ulikuwa unavuta bangi, je, ni kweli au? Andrew Kazala, Dar, 0717179570
SAUDA: Sijawahi kuvuta bangi na sijui inafanana vipi. PONGEZI
Mara utasikia oooh, Maimartha Jesse anauza dawa za kuongeza makalio au...

 

11 years ago

Michuzi

Wakiwezeshwa wanawake wanaweza: Msikilize Sauda Mwilima wa Radio Free Africa, Kiss FM na Star TV akitangaza soka

Ni kijana mdogo lakini maarufu sana katika Star TV,  hususan katika kipindi chake cha "Bongo Beat". Pia husikika katika Radio Free Africa na Kiss FM. Akifuata nyayo za dada yake Saida Mwilima aliyekuwa mtangazaji wa TBC kabla ya kuhamia Uingereza, Sauda hivi sasa anasikika pia akitangaza mpira (Bofya mshale mwekundu umsikie). Hongera sana mdogo wetu kwa juhudi zako na kazi nzuri. Hakika unaweza kabisa kuziba pengo aliloacha marehemu Halima Mchuka, mwanamke wa kwanza kutangaza soka nchini...

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI MIAKA 4 AFARIKI

Nasrah Rashid (kulia) enzi za uhai wake. Kushoto aliyekaa ni baba yake mzazi Rashid Mvungi. MTOTO Nasrah Rashid (4) aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia. Nasrah alifichwa kwenye boksi na mama yake mkubwa aitwaye Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege, Morogoro tangu akiwa na miezi tisa baada ya mama yake mzazi...

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MTOTO SHIGELA ALIYEZALIWA NA VVU AAGA DUNIA JIJINI MWANZA‏

Marehemu Shigela enzi za uhai wake akihojiwa na Mtangazaji wa Kipindi cha Mimi na Tanzania, Hoyce Temu. Mtoto Shigela amefariki dunia jana asubuhi tarehe 29/05/2014 nyumbani kwao mkoani Mwanza akisumbuliwa na maradhi ya moyo. Mtoto Shigela alikuwa ni mmoja kati ya watoto waliozaliwa na VVU na kipindi cha Mimi na Tanzania kilimtangaza na alipatiwa misaada mingi toka kwa Watanzania . Bado msaada wako unahitajika kukamilisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

11 years ago

GPL

MTOTO SALUMU AFARIKI DUNIA

Marehemu Salum Kassim enzi za uhai wake. Muonekano wa uvimbe wa tumbo aliokuwa nao Salum Kassim kabla ajafariki. Mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani