SPIKA NDUGAI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA BABA MZAZI WA WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-kmGH15sjVQ4/Xp7P3nV4mrI/AAAAAAAB2dk/h0fCPYR2Hv4anqrNokVwLSOn_h9yqF3UwCLcBGAsYHQ/s72-c/fdbf1c82af85d5604c18f521bca350d7.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, Marehemu Boniface Simbachawene , wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s72-c/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
TANZIA: BABA MZAZI WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s640/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akizungumza na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, wakati Mkuu huyo wa Jeshi alipoenda kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Waziri huyo, marehemu Boniface Simbachawene Mwataguluvala, Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, leo Aprili 17, 2020. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-3-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-0-2048x1351.jpg)
KATIBU MKUU CCM AONGOZA VIONGOZI KUHANI MSIBA WA BABA WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s640/PIX-0-2048x1351.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-4-scaled.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Rais Kikwete aongoza waombolezaji mazishi ya Kisumo
Na Upendo Mosha, Mwanga
RAISI Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya wananchi katika mazishi wa mwasisi wa chama cha TANU na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM), Peter Kisumo yaliyofanyika katika Kijiji cha Kirongwe wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Ibada ya mazishi ilifanyika katika Kanisa la Kiinjili la
Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Pare ambako ibada ya mazishi iliongozwa na aliyekuwa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini, Dk. Marth Shao.
Rais Kikwete aliwasili kijijini hapo saa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pn9hlcwUrXA/VmAM7Q4kRuI/AAAAAAAIJ84/80H8XK4bdLU/s72-c/Hellen%2B1.jpg)
Spika Ndugai aongoza maelfu kuuaga mwili wa Mkurugenzi wa Bunge
![](http://4.bp.blogspot.com/-Pn9hlcwUrXA/VmAM7Q4kRuI/AAAAAAAIJ84/80H8XK4bdLU/s640/Hellen%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
SPIKA NDUGAI AONGOZA BUNGE LA 11 MKUTANO WA 19 KIKAO CHA KWANZA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/--Qln2nlj_sI/XoMYEv7ufVI/AAAAAAALlqg/XdS6vz9iygIg5fOuYVfCzPEt-4bN-06pQCLcBGAsYHQ/s640/Pic-1-aAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-1-bAA-1024x740.jpg)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza Bunge la 11 Mkutano wa 19 kikao cha kwanza kilichoanza leo Bungeni jijini Dodoma huku Mkutano huo unatarajia kumalizika tarehe 30 Juni, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-2AA-2-1024x764.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-3AA-1024x761.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4SOYj5F_c1Q/VTEkFvBgx8I/AAAAAAAHRss/ytnSrREtRcc/s72-c/IMG_1654.jpg)
Rais wa Zanzibar aongoza waombolezaji katika mazishi ya Dkt. Omar Makame Shauri
![](http://3.bp.blogspot.com/-4SOYj5F_c1Q/VTEkFvBgx8I/AAAAAAAHRss/ytnSrREtRcc/s1600/IMG_1654.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ApZZBt6QWiU/VTEkFRsqCXI/AAAAAAAHRsc/YCaYLxKbxtM/s1600/IMG_1687.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYAwLjj9yMDIOcdKLGz*z-vc98YoTkVpMPA9Xp1*6S9TRh5DMTjDtUsmdSpo2BWhbOPRsOxmGRnImaKyaAsheBXF/KIKWETEKTKMAZISHIYAMGIMWA1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA DKT WILLIAM MGIMWA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10