MAAJABU 7 MAZITO ALIYETILEWA VYUMA TUMBONI MUHIMBILI
![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosbQhor7tR4GoJPV**tpLnF0d3ypQb-KfHACIPOksSZ7AYZ6gyYQK5x11PhIOTmkYYY6P8EdJVXewbU9XSATJ5NS/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ KWELI ni maajabu! Yule mgonjwa ambaye mpaka sasa, madaktari hawataki kumtaja jina, aliyelazwa Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) Hospitali ya Taifa Muhumbili (MNH), Dar baada ya kufanyiwa upasuaji na kutolewa rundo la vyuma tumboni, maajabu saba yameibuka, Uwazi linakupa zaidi. Tukio hilo la kihistoria lilitokea wiki iliyopita ambapo mgonjwa huyo alifikishwa Muhimbili akitokea...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Aliyetoa siri ya Muhimbili kwa Magufuli, mazito yaibuka
Chacha Makenge.
NA MWANDISHI WETU, Uwazi
DAR ES SALAAM: Yule mgonjwa anayeaminika ndiye aliyetoa siri ya kuharibika kwa mashine za CT Scan na MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Rais Dk. John Magufuli na wiki iliyopita kudai amelazwa chini, Chacha Makenge, amesababisha mapya kuibuka.
Wakizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, maofisa uhusiano wa Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi), Frank Matua na Patrick Mvungi kwa nyakati tofauti, walisema kuwa, mgonjwa huyo hakuwa...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Tunda Man: Shoo bora ni za wanyanyua vyuma
NA RHOBI CHACHA
NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Khalid Ramadhani ‘Tunda Man’ amewaasa wasanii wenzake kufanya mazoezi kwa nguvu ili waweze kumudu maonyesho yao wawapo jukwaani.
“Wasanii wanatakiwa wafanye mazoezi yakiwemo‘push up’ na kunyanyua vitu vizito ili wajiweke sawa kiafya na kumudu shoo zao wawapo jukwaani,’’ alisema.
Tunda Man aliongeza kwamba wanaoshindwa kumudu jukwaani hawafanyi mazoezi ya kutosha na wanaofanya mazoezi hayo huwa na matokeo mazuri jukwaani.
“Hakuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B9nh5CAanAs/XsEuYOFem9I/AAAAAAALqjg/a0ZcIoRhnvQ5UHtyKUu9fIuh6-ahReE3gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-2-1.jpg)
NI WAJIBU WA MFANYABIASHARA WA VYUMA CHAKAVU KUFUATA SHERIA-SIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B9nh5CAanAs/XsEuYOFem9I/AAAAAAALqjg/a0ZcIoRhnvQ5UHtyKUu9fIuh6-ahReE3gCLcBGAsYHQ/s640/1-2-1.jpg)
…………………………………………………………………………..
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amesema ni wajibu wa kila mfanyabiashara wa vyuma chakavu kufuata sheria ili kulinda miundombinu na kuepuka...
5 years ago
BBCSwahili19 May
Wasp-76b: Sayari ya mbali ambapo 'mvua hunyesha ya vyuma'
11 years ago
Habarileo18 May
Daktari asahau kitambaa tumboni
MKAZI wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa mwanamama huyo wakati akijifungua.
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Msongo humwathiri mtoto tumboni
WIKI iliyopita tuliona jinsi ambavyo msongo wa mawazo unavyoweza kuathiri utungaji wa mimba. Kwa kuwa msongo wa mawazo una athari zaidi ya hiyo, nimeona ni vema kwa wiki hii, kabla...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Juma Nature: Nyota aliyejisomesha kwa kuuza vitumbua, vyuma chakavu(4)
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Prolife yahimiza uhai wa mtoto tumboni
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu la Prolife limewataka Watanzania kuthamini uhai wa mtoto toka mimba inapotungwa ili kufuatana na misingi ya imani. Akizungumza baada ya ibada ya Krismasi, jijini...
10 years ago
CloudsFM05 Jan
MWILI WA MAREHEMU WAZIKWA NA KUKU TUMBONI
Lakini ghafla alijitokeza ndugu wa marehemu mwanamke kuwazuia waombolezaji, huku mwenyewe akiingia kaburini na kufungua sanduku na kuanza...