Tunda Man: Shoo bora ni za wanyanyua vyuma
NA RHOBI CHACHA
NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Khalid Ramadhani ‘Tunda Man’ amewaasa wasanii wenzake kufanya mazoezi kwa nguvu ili waweze kumudu maonyesho yao wawapo jukwaani.
“Wasanii wanatakiwa wafanye mazoezi yakiwemo‘push up’ na kunyanyua vitu vizito ili wajiweke sawa kiafya na kumudu shoo zao wawapo jukwaani,’’ alisema.
Tunda Man aliongeza kwamba wanaoshindwa kumudu jukwaani hawafanyi mazoezi ya kutosha na wanaofanya mazoezi hayo huwa na matokeo mazuri jukwaani.
“Hakuna...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLR.O.M.A, MO MUSIC, TUNDA MAN WAANGUSHA BONGE LA SHOO COCO
10 years ago
GPLTUNDA MAN AKIINGIA DAR LIVE TAYARI KWA SHOO
11 years ago
GPL
NATURE, MZEE YUSUF, TUNDA MAN, KHADIJA KOPA, SNURA, KR, BAMBO WAWASHA MOTO SHOO YA SAYONA DAR LIVE
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tunda Man: Ukata ni tatizo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
GPL
VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN
11 years ago
GPL
TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO
9 years ago
Bongo505 Dec
Tunda Man aulilia msamaha wa Matonya

Tunda Man amedai yupo tayari kumpigia magoti Matonya ili wamalize tofauti zao zilizodumu kwa kipindi kirefu.
Muimbaji huyo ambaye ameachia wimbo mpya, Mama Kijacho hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Friday Night Live cha EATV kuwa ameshachoshwa na kusikia kuhusu masuala ya kutoelewana.
“Nilimpigia simu akanitukana matusi mengi sana mpaka leo sipati jibu kwanini,” alisema. “Nilimpigia simu ili nijue tunafanyaje kuhusu video ya wimbo tuliofanya pamoja kwa sababu kuna sehemu nilipita...
10 years ago
Bongo501 Sep
Music: Delilah Ft. Tunda Man — Kichuna
11 years ago
GPL
TUNDA MAN, NYOTA NDOGO WANASWA!