Tunda Man: Ukata ni tatizo
MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Dec
Tunda Man: Ukata unatusababisha tusifanye mambo makubwa
11 years ago
Mwananchi13 Sep
Ukata tatizo Taifa Queens
11 years ago
GPL
TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO
10 years ago
GPL
VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN
9 years ago
Bongo502 Dec
Music: Tunda Man – Mama Kijacho

Msanii Tunda Man ameachia wimbo mpya unaitwa “Mama Kijacho”. Studio A.M Records
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo505 Dec
Tunda Man aulilia msamaha wa Matonya

Tunda Man amedai yupo tayari kumpigia magoti Matonya ili wamalize tofauti zao zilizodumu kwa kipindi kirefu.
Muimbaji huyo ambaye ameachia wimbo mpya, Mama Kijacho hivi karibuni, amekiambia kipindi cha Friday Night Live cha EATV kuwa ameshachoshwa na kusikia kuhusu masuala ya kutoelewana.
“Nilimpigia simu akanitukana matusi mengi sana mpaka leo sipati jibu kwanini,” alisema. “Nilimpigia simu ili nijue tunafanyaje kuhusu video ya wimbo tuliofanya pamoja kwa sababu kuna sehemu nilipita...
9 years ago
GPLNAKUSOGEZEA 3 ZA TUNDA MAN MWEZI HUU
11 years ago
GPL
TUNDA MAN, NYOTA NDOGO WANASWA!
11 years ago
GPLTUNDA MAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE