Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUNDA MAN, NYOTA NDOGO WANASWA!

Stori: SHAKOOR JONGO Kabang! Memba wa Kundi la Tip Top Connection lenye maskani yake Manzese jijini Dar, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ na mwanamuziki wa nchini Kenya, Mwanaisha Abdallah ‘Nyota Ndogo’ wamenaswa laivu wakiwa kwenye pozi la mahaba niue. Memba wa Kundi la Tip Top Connection , Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ akipozi kimahaba na mwanamuziki Mwanaisha Abdallah ‘Nyota...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Nyota Ndogo Ft. Kaa la Moto — Mapanya

Video mpya kutoka kwa msanii Nyota Ndogo akimshirikisha Kaa la Moto wimbo unaitwa “Mapanya”

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Amoury Beyby ft Nyota Ndogo — Baridi

Video Mpya kutoka kwa Amoury Beyby akimshirikisha Nyota Ndogo ngoma inaitwa “Baridi”

 

9 years ago

Bongo5

Nyota Ndogo: Unaweza kutunga nyimbo ukailia hela hata miaka 20

Kuna wasanii wengi ambao mpaka leo wanaendelea kunufaika kupitia kazi zao ambazo walizifanya miaka mingi iliyopita. Na kuna wengine ambao walitangulia mbele za haki lakini ndugu zao bado wanaendelea kufaidi matunda ya kazi zao. Msanii wa Kenya, Nyota Ndogo amesimulia jinsi hit song yake ‘Watu Na Viatu’ inavyoendelea kumpa maisha hadi sasa licha ya kuwa […]

 

11 years ago

GPL

TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO

Na Shakoor Jongo
Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ amekutwa na mauzauza baada ya kupokea simu yenye namba zinazodaiwa kuwa za ajabu na kumsababishia atokwe damu puani, mdomoni na kupooza upande mmoja. Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ akiwa katika Hospitali ya Palestina. Chanzo makini kilicho karibu na msanii huyo ambacho kilikuwa...

 

10 years ago

GPL

VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN

Issa Mnally
VIBAKA ambao hawakufahamika mara moja mwishoni mwa wiki iliyopita, walivunja kioo kidogo cha gari la nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ na kumkomba vitu mbalimbali vikiwemo power window, kompyuta mpakato na fedha katika tukio lililotokea Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’. Katika usiku ambao msanii huyo ilikuwa apande na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunda Man: Ukata ni tatizo

MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’, amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Akizungumza jijini Dar es...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Tunda Man – Mama Kijacho

MAMA-KIJACHO

Msanii Tunda Man ameachia wimbo mpya unaitwa “Mama Kijacho”. Studio A.M Records

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

TUNDA MAN ATINGA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa Bongo Fleva, Tunda man akifanya mahojiano na Global TV online jioni ya leo. Mtangazaji wa Global TV Online, Pamela Daffa (kushoto) akiwa na Tunda man wakiendelea na kipindi cha Mtu Kati.…

 

9 years ago

GPL

NAKUSOGEZEA 3 ZA TUNDA MAN MWEZI HUU

Staa wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ STAA wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ anatarajia kuachia ngoma zake tatu kwa mpigo alizowashirikisha mastaa wakubwa ndani na nje ya nchi mwezi. Tunda aliitonya Global Showbiz kuwa ngoma hizo ni Jiachie aliyomshirikisha Diamond Platnumz, Debe Tupu aliyomshirikisha msanii mkubwa nchini Nigeria (Jina linahifadhiwa) pamoja na Mama Kijacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani