WATOTO WAWILI WALIPULIWA KWA PETROLI

Haruni Sanchawa na Roda Josiah, Bagamoyo WATOTO wawili wa familia moja, Nuru (3) na Dora Kaitaba (2), wamefariki dunia kwa kuungua moto hadi kubaki majivu baada ya moto mkubwa uliotokana na petroli kulipuka nyumbani kwao, Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani. Mtoto Dora Kaitaba (2) wakati wa uhai wake. Tukio hilo lililowaliza wengi, lilijiri saa tatu usiku, Jumapili iliyopita watoto hao wakiwa ndani na baba yao. Kwa mujibu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Watoto wawili wateketea kwa moto
WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwateka watoto
11 years ago
Mwananchi20 Oct
Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa
11 years ago
Habarileo03 Jan
Wanakwaya Arusha walipuliwa kwa bomu
WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.
10 years ago
GPL
WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA
9 years ago
StarTV25 Nov
Watoto wawili wafariki Dihombo Mvomero baada ya Nyumba kuteketea Kwa Moto
Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya nyumba walimokuwa wakiishi kuteketea kwa moto katika kijiji cha Dihombo wilayani Mvomero mkoani Morogoro.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana wakati watoto hao watatu wakiwa wamelala peke yao, mama yao mzazi akiwa ameenda kanisani.
Mmoja wa watoto hao aliwasha kibatari kwa lengo la kwenda kujisaidia lakini kwa bahati mbaya kibatari hicho kililipuka na moto kuanza kusambaa nyumba nzima.
Watoto waliofariki...
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake