Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nakutana na marais

Nilipoanza kazi ya utangazaji pale Radio Tanzania mwaka ule wa 1969, sikuwahi kuwa na ndoto hata mara moja kwamba utafika wakati nitaweza kukutana ana kwa ana na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

10 years ago

GPL

MARAIS 6 WANAWAKE DUNIANI

Baada ya wiki iliyopita kuwaletea wasanii 7 matajiri Afrika. Wiki hii tunawaletea marais 6 wa kwanza wanawake katika nchi zao.  Sheik Hasina Wajed. Sheik Hasina Wajed ANA miaka 67. Kabla ya kuwa rais wa sasa wa Bangladesh kwa uchaguzi wa mwaka 2009, aliwahi kuwa waziri mkuu mwaka 1996 akaondolewa madarakani kutokana na nchi kukithiri rushwa. Mji Mkuu wa Bangladesh ni Dhaka. … ...

 

10 years ago

GPL

MARAIS 9 MATAJIRI AFRIKA

1. Rais Equardo Jose Dos Anashika nafasi ya juu kwa marais wa Afrika kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 20.
2.Mohamed VII Rais wa Morocco anamiliki utajiri wa dola bilioni 2.5 za Kimarekani.…

 

11 years ago

Mwananchi

Marais wastaafu wakutana

Marais wastaafu barani Afrika wameanza kuweka mikakati ya pamoja ili kulisaidia bara hili namna linavyoweza kukabiliana na changamoto za kiuchumi hasa wakati huu ambako dunia inahimizwa kuwa na ushirikiano wa kimaendeleo.

 

10 years ago

BBCSwahili

US iliwachunguza marais wa Ufaransa

Kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA kiliwapeleleza marais wa Ufaransa akiwemo Jacques Chirac,Nicolas Sarkozy na Francois Hollande mwaka 2006-12,kulingana na mtandao wa wikileaks.

 

10 years ago

Mwananchi

Chokala: Marais hawakunisikia

Balozi wa zamani nchini Urusi, Patrick Chokala amesema alitumia muda mwingi kuwashauri viongozi kuhusu masuala mbalimbali ya uadilifu hasa rushwa, ufisadi na utawala bora, lakini hakuna aliyemsikiliza.

 

11 years ago

Habarileo

Bush ahimiza marais kushirikiana

RAIS wa zamani wa Marekani, George W. Bush ametaka marais kuungana kwa pamoja kuimarisha afya ya mama na wasichana.

 

10 years ago

Habarileo

JK aweka mashada makaburi ya marais

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete ametembelea na kuweka mashahada ya maua ya marais watatu wa Zambia katika eneo la Maziko ya Marais katikati ya Jiji la Lusaka, Zambia.

 

10 years ago

Habarileo

Marais 15 Afrika kujadili ugaidi

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuungana na marais wengine 14 wa Afrika, kujadili mbinu za kupambana na ugaidi na matukio mengine kuhifadhi raia wa Nepal yanayotishia hali ya usalama barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani