Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chokala: Marais hawakunisikia

Balozi wa zamani nchini Urusi, Patrick Chokala amesema alitumia muda mwingi kuwashauri viongozi kuhusu masuala mbalimbali ya uadilifu hasa rushwa, ufisadi na utawala bora, lakini hakuna aliyemsikiliza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

10 years ago

Habarileo

Chokala wa 38 kuomba urais CCM

Balozi wa zamani wa Tanzania nchini Urusi, Patrick Chokala (kulia) akikabidhiwa mkoba wenye fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na CCM kugombea urais na Katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Anamringi Macha kwenye Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida).BALOZI Patrick Chokala, amekuwa kada wa 38 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.

 

10 years ago

Daily News

Chokala promises accountability, care for the poor


Chokala promises accountability, care for the poor
Daily News
A CCM presidential aspirant, Ambassador Patrick Chokala, assured the public of accountability and caring for the marginalised once he becomes the fifth president. Amb. Chokala made the remarks here shortly after handing over his nomination form to the ...

 

10 years ago

Mwananchi

Chokala: Nitaendesha nchi kwa reli, bandari

Dar es Salaam. Balozi Patrick Chokala (67), amejitokeza na kutangaza azma yake ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM akiahidi kusimamia uchumi wa Taifa kupitia bandari na reli.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI CHOKALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS CCM

Balozi, Patrick Chokala akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda,
Globu ya Jamii

Mwandishi wa Habari wa Rais wa awamu ya Pili, BaloziPatrick Chokala ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ili aweze kupeperusha bendera hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo...

 

10 years ago

TheCitizen

CCM crowd swells as Chokala joins the queue for nomination

Former diplomat and presidential press secretary Patrick Chokala announces his entry into the CCM nomination race

 

10 years ago

Mwananchi

Nakutana na marais

Nilipoanza kazi ya utangazaji pale Radio Tanzania mwaka ule wa 1969, sikuwahi kuwa na ndoto hata mara moja kwamba utafika wakati nitaweza kukutana ana kwa ana na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali duniani.

 

10 years ago

GPL

MARAIS 6 WANAWAKE DUNIANI

Baada ya wiki iliyopita kuwaletea wasanii 7 matajiri Afrika. Wiki hii tunawaletea marais 6 wa kwanza wanawake katika nchi zao.  Sheik Hasina Wajed. Sheik Hasina Wajed ANA miaka 67. Kabla ya kuwa rais wa sasa wa Bangladesh kwa uchaguzi wa mwaka 2009, aliwahi kuwa waziri mkuu mwaka 1996 akaondolewa madarakani kutokana na nchi kukithiri rushwa. Mji Mkuu wa Bangladesh ni Dhaka. … ...

 

10 years ago

GPL

MARAIS 9 MATAJIRI AFRIKA

1. Rais Equardo Jose Dos Anashika nafasi ya juu kwa marais wa Afrika kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 20.
2.Mohamed VII Rais wa Morocco anamiliki utajiri wa dola bilioni 2.5 za Kimarekani.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani