Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chokala wa 38 kuomba urais CCM

Balozi wa zamani wa Tanzania nchini Urusi, Patrick Chokala (kulia) akikabidhiwa mkoba wenye fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na CCM kugombea urais na Katibu wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Anamringi Macha kwenye Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida).BALOZI Patrick Chokala, amekuwa kada wa 38 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BALOZI CHOKALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS CCM

Balozi, Patrick Chokala akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda,
Globu ya Jamii

Mwandishi wa Habari wa Rais wa awamu ya Pili, BaloziPatrick Chokala ametangaza nia ya kugombea urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ili aweze kupeperusha bendera hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo...

 

5 years ago

Michuzi

Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa Fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Urais kwa Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadae mwaka huu kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM White House Dodoma leo tarehe 17 JUNI 2020.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoka katika Makao Makuu ya CCM White House Dodoma leo tarehe...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Magufuli achukua fomu ya kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akionyesha kabrasha lenye Fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM mara baada ya kukabidhiwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya CCM wa Idara ya Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatibu mkoani Dodoma leo. Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu kabla ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (katikati) akionyesha kabrasha lenye fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kushoto ni Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa (Nec) ya CCM wa Idara ya Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatibu. Kulia ni mkewe Waziri Chikawe, Profesa Amandina Lihamba. Tukio hilo la uchukuaji wa fomu lilifanya katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma...

 

5 years ago

CCM Blog

DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, katika Serikali ya Awamu ya Tano, Dkt. Hussein Mwinyi akichukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.

 

5 years ago

CCM Blog

SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha amechukua fomu kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe agombee urais Zanzibar wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

 

5 years ago

CCM Blog

BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk. John Magufuli akipokea fomu kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally za kuomba kuwania urais kupitia chama hicho. Tukio hilo limefanyika leo asubuhi MMakao Makuu ya CCM, Jijini Dodoma

 

5 years ago

CCM Blog

KADA WA 13 WA CCM, DK. ABDULHALIM MOHAMMED ALI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Kada wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Abdulhalim Mohammed Ali katikati akitoka katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar baada ya kukamilisha uchukuaji wa Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 13 wa CCM kuchukua fomu leo.Akikabidhiwa fomu





 

5 years ago

CCM Blog

MOHAMMED JAFFAR JUMANNE ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUWA MGOMBEA URAIS ZANZNIABAR KUPITIA CCM


Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi Mhe.Mohammed Jaffar Jumanne, akikabidhiwa Fomu ya kuwania kuteuliwa na Chama chake kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar, akikabidhiwa na Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo. Hafla hiyo imefanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Sasa waliochukua fomu wamefikia 7.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani