Chokala: Nitaendesha nchi kwa reli, bandari
Dar es Salaam. Balozi Patrick Chokala (67), amejitokeza na kutangaza azma yake ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM akiahidi kusimamia uchumi wa Taifa kupitia bandari na reli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Muhongo: Nitaendesha nchi kwa uchumi wa gesi
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Uboreshaji bandari uendane na reli
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imekuwa katika mchakato wa kuboresha huduma zinazotolewa na bandari za Tanzania hasa Bandari ya Dar es Salaam kwa muda sasa, kitendo kinachostahili kuungwa mkono.
Katika uboreshaji wa huduma hizo, TPA imefungua ofisi ndogo mbili nje ya nchi; moja jijini Lusaka, Zambia na nyingine huko Lubumbashi, DRC ambazo zitawasaidia wafanyabiashara kutoka nchi hizo kufuatilia mizigo yao na kupata huduma bila kusafiri hadi Dar es Salaam.
Tayari...
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Japan yajitolea kuboresha reli, bandari
SERIKALI ya Japan imeahidi kuboresha miundombinu nchini. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Noria Mitsuya, kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s72-c/unnamed+(27).jpg)
WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s1600/unnamed+(27).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SOcHPq0a30/XrY_wSSArlI/AAAAAAALpiU/G37IDegyu90yRMQUsdHvjAJLVKd4TIeKACLcBGAsYHQ/s72-c/34eb4671-c996-4e46-a6d9-f653d8bf4cbf.jpg)
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA AKAGUA VICHWA SABA VYA TRENI VILIVYOPO KARAKANA YA RELI MKOANI MORO
Vichwa hivyo vya treni ndivyo vitakavyosaidia usafirishaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Bandari Kavu ya Kwala-Ruvu pamoja na Yadi ya Ubungo.
Akiwa katika Karakana hiyo leo Mei 8 mwaka huu,Mkurugenzi huyo wa TPA ameelezwa na wataalam wa Karakana hiyo kuwa vichwa vinne vitakamilika...
11 years ago
MichuziWADAU WA BANDARI NA RELI WAKUTANA NA KAMPUNI YA BESIX YA UBELGIJI,PIA WATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MTAMBO WA KUZALISHA UMEME UTAKAOPELEKWA BIHARAMULO
11 years ago
Dewji Blog26 May
Wadau wa Reli na Bandari walipotembelea kiwanda cha mitambo ya Umeme cha ABC
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na jumuiya ya Ulaya Dr Kamala akisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa kampuni ya Anglo Belgium Corporation ABC inayoshughuikia utengenezaji wa mitambo mbalimbali ya umeme,pichani Balozi Kamala akiwa na wadau kutoka sekta mbalimbali za reli na bandari wakisikiliza kwa makini shughuli zinazofanywa kiwandani hapo.
Mh. Balozi Dr. Kamala akiwa na wadau toka Tanzania katika kiwanda cha utengenezaji wa mitambo ya umeme kinachojulikana kama Anglo Belgian...
11 years ago
GPLWADAU WA RELI NA BANDARI WALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA MITAMBO YA UMEME CHA ABC
10 years ago
Mwananchi15 Jan
U safiri wa reli unavyokosesha nchi mapato na maendeleo