Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Japan yajitolea kuboresha reli, bandari

SERIKALI ya Japan imeahidi kuboresha miundombinu nchini. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa  Japan, Noria Mitsuya, kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Uboreshaji bandari uendane na reli

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imekuwa katika mchakato wa kuboresha huduma zinazotolewa na bandari za Tanzania hasa Bandari ya Dar es Salaam kwa muda sasa, kitendo kinachostahili kuungwa mkono.

Katika uboreshaji wa huduma hizo, TPA imefungua ofisi ndogo mbili nje ya nchi; moja jijini Lusaka, Zambia na nyingine huko Lubumbashi, DRC ambazo zitawasaidia wafanyabiashara kutoka nchi hizo kufuatilia mizigo yao na kupata huduma bila kusafiri hadi Dar es Salaam.

Tayari...

 

10 years ago

Mwananchi

Chokala: Nitaendesha nchi kwa reli, bandari

Dar es Salaam. Balozi Patrick Chokala (67), amejitokeza na kutangaza azma yake ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM akiahidi kusimamia uchumi wa Taifa kupitia bandari na reli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli

WIZARA ya Uchukuzi  imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai yenye rangi nyekundu) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa reli na bandari wa Ubelgiji na Tanzania walionza ziara ya mafunzo leo Ubelgiji. Ziara hiyo ya wiki moja ina lengo la kujifunza mbinu mbalimbali zitakosaidia kuboresha miundombinu ya reli na bandari Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra yapania kuboresha bandari

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema itahakikisha bandari zilizopo nchini, zinatoa huduma kwa kiwango cha kimataifa ili ziweze kushindana na bandari za nchi jirani ikiwa ni pamoja na kupewa leseni.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yapewa mabilioni kuboresha bandari

Zaidi ya Sh 1.2 trilioni zimetolewa na wadau wa maendeleo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam inayofanywa chini ya Mpango wa Matokeo Mkubwa (BRN)sasa.

 

11 years ago

Michuzi

Naibu waziri wa mambo ja nje wa Japan atembelea shirika la reli jijini Dar es salaam

 Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Bw. Norio Mitsuya, mara baada ya kuwasili katika stesheni ya  Shirika la Reli Tanzania(TRL) kuangalia namna usafiri wa Treni ya Dar es Salaam Unavyofanya kazi, leo mchana

 Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Charles Tizeba, akimuonyesha mchoro wa njia ya treni ya Bara na ile ya inayofanya Safari zake kutoka stesheni mpaka Ubungo Maziwa, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Norio...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA AKAGUA VICHWA SABA VYA TRENI VILIVYOPO KARAKANA YA RELI MKOANI MORO

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusidedit Kakoko ametembelea Karakana ya Reli iliyopo mkoani Morogoro kwa lengo la kukagua matengenezo ya vichwa saba vya treni.

Vichwa hivyo vya treni ndivyo vitakavyosaidia usafirishaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Bandari Kavu ya Kwala-Ruvu pamoja na Yadi ya Ubungo.

Akiwa katika Karakana hiyo leo Mei 8 mwaka huu,Mkurugenzi huyo wa TPA ameelezwa na wataalam wa Karakana hiyo kuwa vichwa vinne vitakamilika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani