Japan yajitolea kuboresha reli, bandari
SERIKALI ya Japan imeahidi kuboresha miundombinu nchini. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Noria Mitsuya, kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Uboreshaji bandari uendane na reli
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imekuwa katika mchakato wa kuboresha huduma zinazotolewa na bandari za Tanzania hasa Bandari ya Dar es Salaam kwa muda sasa, kitendo kinachostahili kuungwa mkono.
Katika uboreshaji wa huduma hizo, TPA imefungua ofisi ndogo mbili nje ya nchi; moja jijini Lusaka, Zambia na nyingine huko Lubumbashi, DRC ambazo zitawasaidia wafanyabiashara kutoka nchi hizo kufuatilia mizigo yao na kupata huduma bila kusafiri hadi Dar es Salaam.
Tayari...
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Chokala: Nitaendesha nchi kwa reli, bandari
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli
WIZARA ya Uchukuzi imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s72-c/unnamed+(27).jpg)
WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wb2q2SvaVDA/U3pAsNTP-3I/AAAAAAAFjuo/bqX836bPgvs/s1600/unnamed+(27).jpg)
10 years ago
Habarileo06 Nov
Sumatra yapania kuboresha bandari
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema itahakikisha bandari zilizopo nchini, zinatoa huduma kwa kiwango cha kimataifa ili ziweze kushindana na bandari za nchi jirani ikiwa ni pamoja na kupewa leseni.
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Serikali yapewa mabilioni kuboresha bandari
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-okOqTNvSGZw/UuvcvtoZFpI/AAAAAAAFJ90/6vC_4DlasWE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Naibu waziri wa mambo ja nje wa Japan atembelea shirika la reli jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-okOqTNvSGZw/UuvcvtoZFpI/AAAAAAAFJ90/6vC_4DlasWE/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QTNvzHJYPdU/UuvcvpXGkiI/AAAAAAAFJ-M/o9u0p0nsp_I/s1600/unnamed+(22).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SOcHPq0a30/XrY_wSSArlI/AAAAAAALpiU/G37IDegyu90yRMQUsdHvjAJLVKd4TIeKACLcBGAsYHQ/s72-c/34eb4671-c996-4e46-a6d9-f653d8bf4cbf.jpg)
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA AKAGUA VICHWA SABA VYA TRENI VILIVYOPO KARAKANA YA RELI MKOANI MORO
Vichwa hivyo vya treni ndivyo vitakavyosaidia usafirishaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Bandari Kavu ya Kwala-Ruvu pamoja na Yadi ya Ubungo.
Akiwa katika Karakana hiyo leo Mei 8 mwaka huu,Mkurugenzi huyo wa TPA ameelezwa na wataalam wa Karakana hiyo kuwa vichwa vinne vitakamilika...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/crcpwtXj4DA/default.jpg)