MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA AKAGUA VICHWA SABA VYA TRENI VILIVYOPO KARAKANA YA RELI MKOANI MORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_SOcHPq0a30/XrY_wSSArlI/AAAAAAALpiU/G37IDegyu90yRMQUsdHvjAJLVKd4TIeKACLcBGAsYHQ/s72-c/34eb4671-c996-4e46-a6d9-f653d8bf4cbf.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusidedit Kakoko ametembelea Karakana ya Reli iliyopo mkoani Morogoro kwa lengo la kukagua matengenezo ya vichwa saba vya treni.
Vichwa hivyo vya treni ndivyo vitakavyosaidia usafirishaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Bandari Kavu ya Kwala-Ruvu pamoja na Yadi ya Ubungo.
Akiwa katika Karakana hiyo leo Mei 8 mwaka huu,Mkurugenzi huyo wa TPA ameelezwa na wataalam wa Karakana hiyo kuwa vichwa vinne vitakamilika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA KARAKANA YA KUTENGENEZEA BREAKPAD ZA VICHWA VYA TRENI LEO JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g_C9s_MCI6s/ViqbPEc1XpI/AAAAAAAICLQ/igWvKGqQDZg/s72-c/001.jpg)
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA) AHUDHURIA MAHAFALI YA 46 YA SHULE YA SEKONDARI PUGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-g_C9s_MCI6s/ViqbPEc1XpI/AAAAAAAICLQ/igWvKGqQDZg/s640/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1kucixnPr-Y/ViqbPAnZNdI/AAAAAAAICLU/Cy0ivYMLBWw/s640/003.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA BREAKPAD ZA VICHWA VYA TRENI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-e8xcmVz8E6s/VSWvXRd_2OI/AAAAAAADhQI/9RoX2C1Alig/s72-c/dr.%2Bmhita.jpg)
ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-e8xcmVz8E6s/VSWvXRd_2OI/AAAAAAADhQI/9RoX2C1Alig/s1600/dr.%2Bmhita.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-emxPGOWDpy8/Va6vOMYsZ7I/AAAAAAAHq9U/6Jbvq4MrRWE/s72-c/tt.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) Dk. Ally Yahaya Simba
![](http://2.bp.blogspot.com/-emxPGOWDpy8/Va6vOMYsZ7I/AAAAAAAHq9U/6Jbvq4MrRWE/s1600/tt.jpg)
Dk. Simba aliteuliwa rasmi kushika wadhifa huo mnamo tarehe 6 Jula1 2015 kwa kipindi cha miaka mitano. Kabla ya uteuzi huo, Dk....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANZIA: ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA AFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ariGYNmjxg/VSTVw5Iq09I/AAAAAAAHPj0/0jYzSFbHBXE/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu (mstaafu) Dkt. Mohamed Mhita kilichotokea siku ya Jumatatu tarehe 06 Aprili 2015 katika hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mhita alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa iliyokuwa Idara Kuu ya Hali ya Hewa kwa kipindi cha miaka 8 kuanzia 1992 hadi 1999 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa kipindi cha miaka 9 kuanzia 1999...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700.
“Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi Singida kimetoa ajira 6,300 wakati mradi wa umeme...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pSokanmjCwQ/VRBk-WVC6sI/AAAAAAAHMlA/pR88OG2oNMM/s72-c/unnamed.jpga.jpg)
TRL YAPOKEA VICHWA 2 VYA TRENI TOKA AFRIKA KUSINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSokanmjCwQ/VRBk-WVC6sI/AAAAAAAHMlA/pR88OG2oNMM/s1600/unnamed.jpga.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V4kA_hm6g3M/VRBk-h3d48I/AAAAAAAHMlE/-SBpY_fSyYs/s1600/unnamed.jpgs.jpg)
Vichwa hivi vimetengenezwa kupitia mkataba kati ya TRL na Kampuni ya EMD ya Marekani. Utengenezaji wa vichwa hivi vya treni umefanyika na Kampuni ya DCD ya Afrika Kusini.
Ununuzi...
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu na Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia afanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam