KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA KARAKANA YA KUTENGENEZEA BREAKPAD ZA VICHWA VYA TRENI LEO JIJINI DAR
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi atembelea karakana kutengenezea breakpad za vichwa vya treni kinachomilikiwa na kampuni miliki ya rasilimali za Reli(RAHCO) leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka (wa nne kutoka kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni Miliki ya Rasilimali za Reli (RAHCO), Mhandisi Benhadard Tito, wakati akimwelezea namna karakana ya kutengenezea breakpad za vichwa vya treni kilivyokuwa kinafanya kazi, na sasa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZEA BREAKPAD ZA VICHWA VYA TRENI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_SOcHPq0a30/XrY_wSSArlI/AAAAAAALpiU/G37IDegyu90yRMQUsdHvjAJLVKd4TIeKACLcBGAsYHQ/s72-c/34eb4671-c996-4e46-a6d9-f653d8bf4cbf.jpg)
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA BANDARI TANZANIA AKAGUA VICHWA SABA VYA TRENI VILIVYOPO KARAKANA YA RELI MKOANI MORO
Vichwa hivyo vya treni ndivyo vitakavyosaidia usafirishaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam hadi Bandari Kavu ya Kwala-Ruvu pamoja na Yadi ya Ubungo.
Akiwa katika Karakana hiyo leo Mei 8 mwaka huu,Mkurugenzi huyo wa TPA ameelezwa na wataalam wa Karakana hiyo kuwa vichwa vinne vitakamilika...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga( ICAO) atembelea Wizara ya Uchukuzi
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiongea na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin baada ya kutembelea katika ofisi za wizara ya uchukuzi jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Shirika la Usafiri wa Anga( ICAO) yupo nchini kwa ziara ya kikazi kuanzaia Tarehe 14 hadi 18 mei 2014.
KARIBU MGENI MWENYEJI ASHIBE ; Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akimkaribisha Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin,...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI ,BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA MAONESHO YA 39 VIWANJA VYA M.J.NYERERE JIJINI DAR
Katibu Mkuu wa Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akisalimiana Afisa Habari wa Shirika la Taifa la Bima( NIC),Mwanaidi Shemheta alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 39 katika Viwanja vya Mwalim...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uxO7FD_O4cg/UwNZxxwF44I/AAAAAAAFNzU/kwfQPBPWDR0/s1600/unnamed+(12).jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATEMBELEA OFISI ZA ILIYOKUWA WIZARA YA UCHUKUZI NA KUONGEA NA MENEJIMENTI NA WAKUU WA TAASISI LEO ASUBUHI
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, DKT. SHAABAN MWINJAKA AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA)
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA IDARA YA UHAMIAJI KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM — AWATAKA WATENDAJI KWENDA NA KASI MPYA