Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


U safiri wa reli unavyokosesha nchi mapato na maendeleo

Katika harakati za kudhibiti hali mbaya katika Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), hivi karibuni, Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe aliwatimua kazi watumishi sita kutokana na kitendo cha kuihujumu kampuni hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Reli ya Kati iboreshwe kwa maendeleo ya taifa

Ukosefu wa mabehewa na injini za treni za kutosha katika Reli ya Kati ni moja ya changamoto zinazoikabili sekta ya uchukuzi hapa nchini hasa linapokuja suala la usafirishaji wa mizigo mingi kutoka bandari ya Dar es Salaam kwenda mikoani au nchi jirani.

 

10 years ago

Mwananchi

Chokala: Nitaendesha nchi kwa reli, bandari

Dar es Salaam. Balozi Patrick Chokala (67), amejitokeza na kutangaza azma yake ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM akiahidi kusimamia uchumi wa Taifa kupitia bandari na reli.

 

9 years ago

StarTV

Uwekezaji wa mapato ya mafuta, gesi watakiwa maendeleo ya watanzania

Kuongezeka kwa uwezo wa kiuchumi wa kuzalisha na kuwahudumia watanzania katika sekta ya elimu, afya na maendeleo ya jamii kutategemea uwekezaji wa mapato yanayotokana na rasilimali za mafuta na gesi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Adolf Mkenda amesema ili rasilimali hizo ziwe endelevu na zenye manufaa kwa watanzania ni lazima zibadilishwe na kuwekezwa katika mitaji mingine.

Katika mkutano wa wadau wa gasi na mafuta jijini Dar es salaam Adolf Mkenda Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...

 

10 years ago

Vijimambo

IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU-MTAALAM

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bibi Dorothy Mwanyika akichangia majadiliano kuhusu ukusanyaji wa mapato ya ndani kwajili ya maendeleo wakati wa mkutano unaoendelea hapa Umoja wa Mataifa wa maandalizi ya Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kuhusu uwezeshaji wa raslimalifedha kwa maendeleo endelevu baada ya 2015. Mkutano huo utafanyika mapema mwakani huko Adds Ababa, Ethiopia.Sehemu ya washiriki wa mada kuhusu mapato ya ndani wakifuatilia mchango na Tanzania pamoja na wachangiaji wengine.
Na...

 

10 years ago

Michuzi

IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU - MTAALAMU

Na Mwandishi Maalum, New York Nchi zinazoendelea hususani Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara zimeshauriwa kujiwekea mipango, sera, taratibu na sheria zinazotekelezeka ambazo kwayo zitaongeza na kuboresha ukusanyaji wa mapato ya ndani ili si tu kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wake lakini pia kuwa na maendeleo endelevu. Aidha nchi hizi zimeambiwa kuwa kile kipindi cha kusubiri kuletewa maendeleo kwa maana ya kuwategemea wafadhili kupitia uwekezaji wa moja kwa moja ( FDI) au...

 

9 years ago

Press

Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)

Picha na 1

Picha na 2

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa  uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada  ya  kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.

Picha na 3

Mkurugenzi wa Idara...

 

5 years ago

Michuzi

UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA AMRADI

Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020.

Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.

Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...

 

5 years ago

Michuzi

TAMISEMI YARIDHISHWA NA MATUMIZI MAZURI YA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KATIKA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA KINONDONI

Muonekano wa ujenzi wa mfereji wa kupitisha maji.

Meneja wa TATURA Leopord Runji akimuonesha Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege hatua inayoendelea katika ujenzi wa mfereji wa kupitisha maji.
Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe.Daniel Chongolo wakiangalia karavati za kuweka kwenye mifereji ya kupitisha maji.

…………………………………………………………..

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe....

 

11 years ago

Mwananchi

Reli yawatunuku askari reli watunukiwa

Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani