WADAU WA BANDARI NA RELI WAKUTANA NA KAMPUNI YA BESIX YA UBELGIJI,PIA WATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MTAMBO WA KUZALISHA UMEME UTAKAOPELEKWA BIHARAMULO
Wadau wa bandari na reli wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni ya BESIX ya Ubelgiji baada ya kumaliza kikao cha pamoja na kampuni hiyo. Kampuni ya BESIX ilianzishwa mwaka 1909 na imeajiri watu 19,0000. Mwaka jana kampuni hiyo ilipata faida Euro 2.13 bilioni. Pamoja na mambo mengine, kampuni hiyo imehaidi kusaidia shughuli za jamii Tanzania kupitia taasisi yake inayosaidia shughuli mbalimbali za jamii (BESIX FOUNDATION).
Wadau wa reli na bandari wakishuhudia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog26 May
Wadau wa Reli na Bandari walipotembelea kiwanda cha mitambo ya Umeme cha ABC
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na jumuiya ya Ulaya Dr Kamala akisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa kampuni ya Anglo Belgium Corporation ABC inayoshughuikia utengenezaji wa mitambo mbalimbali ya umeme,pichani Balozi Kamala akiwa na wadau kutoka sekta mbalimbali za reli na bandari wakisikiliza kwa makini shughuli zinazofanywa kiwandani hapo.
Mh. Balozi Dr. Kamala akiwa na wadau toka Tanzania katika kiwanda cha utengenezaji wa mitambo ya umeme kinachojulikana kama Anglo Belgian...
11 years ago
GPLWADAU WA RELI NA BANDARI WALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA MITAMBO YA UMEME CHA ABC
11 years ago
Michuzi.jpg)
WADAU WA BANDARI NA RELI KUTOKA TANZANIA WAANZA ZIARA YA MAFUNZO UBELGIJI
.jpg)
5 years ago
Michuzi
JE UNAUFAHAMU MTAMBO WA KUZALISHA UMEME KWA MGANDAMIZO WA HEWA?

Mwandishi Wetu, COSTECHMBUNIFU Julius Mwangwa, mkazi wa wilaya ya Ilemela jijini Mwanza amebuni mtambo wa kufua umeme kwa kutumia mgandamizo wa hewa ikiwa ni miongoni mwa bunifu zitakazochangia katika sekta ya nishati ya umeme nchini.
Teknolojia inayotumika kwenye mtambo huo ni hewa inayoingizwa kwenye matenki kisha inazungushwa na kutoa nishati inayozalisha umeme unaoweza kutumika maeneo tofauti.
“Mwaka 2011 nilitengeneza prototype...
9 years ago
Michuzi
WATAALAMU WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
10 years ago
Michuzi.jpg)
Wadau bandari wakutana jijini dar
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA KIWANDA CHA KAMPUNI YA ABC UBELGIJI
.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Feb
kampuni ya kuzalisha umeme ya SYMBION KUSAIDIA PROGRAMU ZA VIJANA TFF

10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI CHIZA AKUTANA NA KAMPUNI YA UJENZI MRADI WA KUZALISHA UMEME KINYEREZI III
.jpg)