Wadau bandari wakutana jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-vIZ7c67_EcM/VSOXfC16Y-I/AAAAAAAHPdg/htbtP2L-EdU/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi Bandari nchini (TPA), Bw. Awadh Massawe (mwenye koti la bluu kushoto) akiongoza kikao cha wadau wa mamalaka hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Pamoja na kujenga mahusiano ya karibu na wadau wa bandari, vikao hivyo vinalenga kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili bandari hiyo na kuifanya kuwa shindani katika eneo hili la Afrika.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTASAF NA WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF na wadau wa Maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi wameanza Mkutano wa kupitia mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya maskini,PSSN unaoratibiwa na Mfuko huo nchini.
Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango huo unaowahusisha wataalamu mbalimbali kutoka Taasisi za Fedha na mashirika ya misaada ya kimataifa utawawezesha pia wataalamu hao kutembelea maeneo kadhaa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru kaya maskini katika mikoa y Dodoma, Lindi...
11 years ago
MichuziWADAU WA BANDARI NA RELI WAKUTANA NA KAMPUNI YA BESIX YA UBELGIJI,PIA WATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MTAMBO WA KUZALISHA UMEME UTAKAOPELEKWA BIHARAMULO
10 years ago
VijimamboDKT. MWAKYEMBE AKUTANA NA WADAU WA BANDARI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eB3fzuYfX08/VgBEPpYF26I/AAAAAAAH6q8/QDnZs_Nbpdo/s72-c/unnamed1.jpg)
WADAU WA DAWA WAKUTANA JIJI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-eB3fzuYfX08/VgBEPpYF26I/AAAAAAAH6q8/QDnZs_Nbpdo/s640/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2GEhYX46rTA/VgBEPtdrSyI/AAAAAAAH6q0/arfiul1_wY8/s640/unnamed2.jpg)
9 years ago
MichuziWadau wakutana Dar kujadili Mkataba Mpya wa Mabadiliko ya Tabianchi ‘Paris Agreement’
Ikiwa ni siku chache baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi wa Nchi Wanachama COP21 uliokuwa ukifanyika Paris, Ufaransa, ambao ulimalizika kwa kupitisha mkataba mpya wa mabadiliko ya tabianchi (Paris Agreement), wadau mbalimbali wamekutana kujadili matokeo ya mkutano huo.
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw Ladislaus Mwamanga akitoa neno la ukaribisho kwa washiriki wa Mkutano wa pamoja baina ya wadau wa maendeleo,Maafisa wa serikali na watendaji wa TASAF kwenye Ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini DSM. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Bwana Peter Ilomo akifungua mkutano wa wadau wa Maendeleo,maafisa wa…
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Watalaam wa Takwimu Barani Afrika wakutana jijini Dar
![PICHA NO. 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/PICHA-NO.-2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania