JK aweka mashada makaburi ya marais
RAIS Jakaya Kikwete ametembelea na kuweka mashahada ya maua ya marais watatu wa Zambia katika eneo la Maziko ya Marais katikati ya Jiji la Lusaka, Zambia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mgfW9OVD8PA/VO4VJAES9OI/AAAAAAAHF2g/jtP53ZqTPxY/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete aweka shada la Maua katika makaburi ya Marais Lusaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-mgfW9OVD8PA/VO4VJAES9OI/AAAAAAAHF2g/jtP53ZqTPxY/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
10 years ago
Habarileo26 Sep
Makaburi 2,514 kuhamishwa
MAKABURI 2, 514 yaliyoko eneo la Stendi Ndogo Jijini Arusha, yatahamishwa kupisha ujenzi wa miundombinu, ikiwemo stendi ya kisasa ya kushusha na kupakia abiria.
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Makaburi yafukuliwa Tikrit
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Nakutana na marais
10 years ago
BBCSwahili25 May
Makaburi 140 yapatikana Malaysia
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Makaburi matatu kuwekwa wi-fi Moscow
10 years ago
Habarileo05 Oct
Ajenga baa katikati ya makaburi
MKAZI wa Mtaa wa Misufini, Kata ya Nyasa, Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Innocent Mtaro anatuhumiwa kujenga baa katikati ya makaburi.
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Halmashauri yatenga ekari 10 za makaburi
HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imetenga kiwanja namba 675 kitalu ‘E’ chenye zaidi ya ekari 10 kilichoko kata ya Tungi kwa ajili ya makaburi. Utengaji wa kiwanja hicho umekuja baada...