Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aweka mashada makaburi ya marais

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete ametembelea na kuweka mashahada ya maua ya marais watatu wa Zambia katika eneo la Maziko ya Marais katikati ya Jiji la Lusaka, Zambia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aweka shada la Maua katika makaburi ya Marais Lusaka

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata aliyefariki mwaka jana katika eneo la maziko ya viongozi wa kitaifa jijini Lusaka Zambia leo.Rais Kikwete alitumia  wasaa huo pia kuweka shada la maua katika marais wa Zambia waliofariki Marehemu Frederick Chiluba na Levy Mwanawasa. Picha na Freddy Maro

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

10 years ago

Habarileo

Makaburi 2,514 kuhamishwa

MAKABURI 2, 514 yaliyoko eneo la Stendi Ndogo Jijini Arusha, yatahamishwa kupisha ujenzi wa miundombinu, ikiwemo stendi ya kisasa ya kushusha na kupakia abiria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makaburi yafukuliwa Tikrit

Wataalamu wa kuchunguza maiti, wameanza kuyafukua zaidi ya makaburi 12 ya halaiki, katika mji wa Tikrit nchini Iraq

 

10 years ago

Mwananchi

Nakutana na marais

Nilipoanza kazi ya utangazaji pale Radio Tanzania mwaka ule wa 1969, sikuwahi kuwa na ndoto hata mara moja kwamba utafika wakati nitaweza kukutana ana kwa ana na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makaburi 140 yapatikana Malaysia

Polisi nchini Malaysia wamepata makaburi 140 na kugundua kambi 28 haramu za walanguzi wa binadamu

 

9 years ago

BBCSwahili

Makaburi matatu kuwekwa wi-fi Moscow

Makaburi matatu yanayotembelewa sana na watu jijini Moscow yatawekewa huduma ya mtandao ya wi-fi.

 

10 years ago

Habarileo

Ajenga baa katikati ya makaburi

MKAZI wa Mtaa wa Misufini, Kata ya Nyasa, Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Innocent Mtaro anatuhumiwa kujenga baa katikati ya makaburi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri yatenga ekari 10 za makaburi

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imetenga kiwanja namba 675 kitalu ‘E’ chenye zaidi ya ekari 10 kilichoko kata ya Tungi kwa ajili ya makaburi. Utengaji wa kiwanja hicho umekuja baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani