Makaburi yafukuliwa Tikrit
Wataalamu wa kuchunguza maiti, wameanza kuyafukua zaidi ya makaburi 12 ya halaiki, katika mji wa Tikrit nchini Iraq
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Apr
Maiti yafukuliwa, yabainika kukatwa baadhi ya viungo
Taharuki imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Parknyigoti, Kata ya Ikoma, Wilaya ya Serengeti mkoani baada ya kufukua kaburi la Selina Jumapili na kukutwa sehemu mbalimbali za viungo vikiwa vimekatwa.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mji wa Tikrit wadhibitiwa
Majeshi ya Iraq na yale Shia yamezidi kupata ushindi na kuurudisha tena mji wa Tikrit.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Marekani kushambulia IS mjini Tikrit
Rais wa Iraq Fouad Massoum ametoa ishara kwamba jeshi linaloongozwa na Marekani huenda likawashambulia wapiganaji wa IS Tikrit.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Iraq yataka kuikomboa Tikrit
Majeshi ya serikari ya Iraq yameingia siku ya nne mfululizo ya harakati za kutaka kuukomboa mji wa Tikrit
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Majeshi ya Iraq yakomboa Tikrit
Maofisa wa serikali nchini Iraqi wamesema kwamba majeshi ya serikali yanayoungwa mkono na majeshia ya Shia yamefanikiwa kuyakomboa baadhi ya maeneo ya mji wa Tikrit kutoka katika himaya ya wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State .
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Mapambano yaendelea mjini Tikrit
Askari nchini Iraq wasema kuwa wamefanikiwa kudhibiti maeneo kadhaa ya mji wa Tikrit
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Jeshi la Iraq lajongelea mji wa Tikrit
Serikali ya Iraq yasema jeshi lake lafanya operesheni kubwa kuukomboa mji wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Majeshi ya Iraq mbioni kuikomboa Tikrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa wanajeshi wake wameanza kampeini ya kuwafurusha wapiganaji wa Islamic State kutoka mji wa Tikrit
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania