Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapambano yaendelea mjini Tikrit

Askari nchini Iraq wasema kuwa wamefanikiwa kudhibiti maeneo kadhaa ya mji wa Tikrit

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kushambulia IS mjini Tikrit

Rais wa Iraq Fouad Massoum ametoa ishara kwamba jeshi linaloongozwa na Marekani huenda likawashambulia wapiganaji wa IS Tikrit.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mafuriko ya Lowassa yaendelea leo mjini Singida

Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA. Wadau wa Singida wakitafuta namna ya kupata taswira ya Mgombea wao, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAENDELEA KUMWAGA MIAMVULI MJINI MBEYA

Muonekano wa mwamvuli wa Championi eneo la Uhindini Mbeya.
Mhuza magazeti (kulia) akimpongeza wakala baada ya kumkabidhi mwamvuli wa Championi Mbalizi stand mbeya.…

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi

Na Dixon Busagaga  wa Globu ya Jamii, Moshi.   Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa.  Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi.   Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: MAFURIKO YA LOWASSA YAENDELEA LEO MJINI SINGIDA

Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA.Wadau wa Singida wakitafuta namna ya kupata taswira ya Mgombea wao, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

Michuzi

MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI

Baadhi ya washiriki watumishi kutoka katika serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kushoto Bw. Fred Manyika,katikati Bi. Emelda Adam na Bw. Abdul Mhinte wakifuatilia mazungumzo wakati wa  mkutano wa kundi la Africa katika mkutano wa mabadiliko ya tabianchi unaoendela mjini Bonn Ujerumani leo (Picha na Evelyn Mkokoi).

 

10 years ago

GPL

MAONYESHO YA WAJASIRIAMALI YAENDELEA VIWANJA VYA MASHUJAA MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa wajasiriamali, Dokta Haruna Kifimbo (Kulia) akipata maelezo ya moja ya banda linaloonyesha na kuuza bidhaa zake  za madishi na vifaa vya umeme, kwenye maonesho ya biashara za wajasiriamali yanayoendelea katika viwanja vya Mashujaa, mjini Dodoma.
Baadhi ya akina mama wakiwa wanaangalia moja ya bidhaa katika mabanda ya wajasiriamali hao yanayoendelea hivi sasa.…
...

 

11 years ago

Michuzi

AICC YAENDELEA KUWAKILISHA KATIKA MICHEZO YA MEI MOSI MJINI MOROGORO

 Mwakilishi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Rutunda Boniface (wa pili kushoto) akiwa katika mstari tayari kwa ajili ya kuanza mbio za baiskeli za Kilomita 15 katika michezo ya Mei Mosi inayoendelea mjini Moorogoro. Rashid Habib Rashid wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC) kushoto akipambana na mpinzani wake kutoka Ofisi ya Rais katika mchezo wa karata, ikiwa ni sehemu ya michezo ya Mei Mosi inayoendelea mjini Moorogoro. (Picha na Rodney Thadeus wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani