Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL YAENDELEA KUMWAGA MIAMVULI MJINI MBEYA

Muonekano wa mwamvuli wa Championi eneo la Uhindini Mbeya.
Mhuza magazeti (kulia) akimpongeza wakala baada ya kumkabidhi mwamvuli wa Championi Mbalizi stand mbeya.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GLOBAL YAGAWA MIAMVULI YA CHAMPIONI JIJINI MBEYA

Msomaji akijisomea Gazeti la Championi kwenye kivuli cha mwamvuli uliogawiwa kwa muuzaji wa magazeti maeneo ya  Uhindini jijini, Mbeya. Muuzaji wa magazeti akiwa na mwamvuli wenye nembo ya Championi baada ya kugawiwa Mbalizi stand,  Mbeya.…

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YATOA MIAMVULI KWA VENDOR JIJINI MBEYA

Wasomaji wa gazeti la Championi jijini Mbeya wakiendelea kusoma gazeti hilo katika Stendi ya Ilomba. Vendor (mwenye tisheti nyekundu) akimkabidhi gazeti la Championi…

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA GLOBAL PUBLISHERS LEO IMETOA MIAMVULI KWA WAUZA MAGAZETI

Muuzaji wa magazeti wa eneo la Stendi ya Makumbusho akipokea muamvuli. Kushoto ni Afisa Usambazaji wa Global akimkabidi dada muuza magazeti wa eneo la Stendi ya Makumbusho.…

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAENDELEA KUMWAGA ELIMU KATIKA MAONESHO YA SABASABA 2015

Mtaalam katika Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Rayson Nkya (kushoto) akielezea sera ya madini kwa wananchi waliotembelea banda la Wizara hiyo kwenye maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.Mtaalam kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Ayoub Shija akielezea shughuli za mgodi huo katika banda la Wizara ya Nishati na Madini.Mtaalam kutoka Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Steven Lowoko akitoa maelezo juu ya jinsi mtambo wa...

 

9 years ago

Michuzi

MBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA

Kocha wa Timu ya Mbeya City fc a.k.a Wakoma Kumwanya ndugu, Juma Mwambusi akizungumza jambo na baadhi ya Vyombo vya Habari mara baada ya Mtanange huo wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara kumalizika katika Uwanja wa kumbukumbu Sokoine Jijini Mbeya, Ambapo Mbeya City FC  waliibuka kidedea kwa kuichalaza Jkt Ruvu goli 3-0, ambapo Dakika ya 23 mchezaji Joseph Mahundi kuipatia Mbeya City Goli la Kwanza na Goli la Pili toka kwa Temy Felix Dakika ya 57 kwa mkwaju wa Penati, huku Goli la Tatu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapambano yaendelea mjini Tikrit

Askari nchini Iraq wasema kuwa wamefanikiwa kudhibiti maeneo kadhaa ya mji wa Tikrit

 

11 years ago

GPL

GLOBAL YAENDELEA KUTOA MEZA KWA WAUZAJI MAGAZETI DAR

Ofisa Masoko Mwandamizi wa Global Publishers, Benjamin Mwanambuu (kushoto) akipeana mkono na mmoja wa wauza magazeti eneo la Kituo cha Makumbusho, Dar baada ya kumkabidhi meza. Muuza magazeti huyo wa Kituo cha Mabasi cha Makumbusho akipanga magazeti yake.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Mafuriko ya Lowassa yaendelea leo mjini Singida

Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA. Wadau wa Singida wakitafuta namna ya kupata taswira ya Mgombea wao, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: MAFURIKO YA LOWASSA YAENDELEA LEO MJINI SINGIDA

Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, SINGIDA.Wadau wa Singida wakitafuta namna ya kupata taswira ya Mgombea wao, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani