Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL YATOA MIAMVULI KWA VENDOR JIJINI MBEYA

Wasomaji wa gazeti la Championi jijini Mbeya wakiendelea kusoma gazeti hilo katika Stendi ya Ilomba. Vendor (mwenye tisheti nyekundu) akimkabidhi gazeti la Championi…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GLOBAL YAGAWA MIAMVULI YA CHAMPIONI JIJINI MBEYA

Msomaji akijisomea Gazeti la Championi kwenye kivuli cha mwamvuli uliogawiwa kwa muuzaji wa magazeti maeneo ya  Uhindini jijini, Mbeya. Muuzaji wa magazeti akiwa na mwamvuli wenye nembo ya Championi baada ya kugawiwa Mbalizi stand,  Mbeya.…

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAENDELEA KUMWAGA MIAMVULI MJINI MBEYA

Muonekano wa mwamvuli wa Championi eneo la Uhindini Mbeya.
Mhuza magazeti (kulia) akimpongeza wakala baada ya kumkabidhi mwamvuli wa Championi Mbalizi stand mbeya.…

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA GLOBAL PUBLISHERS LEO IMETOA MIAMVULI KWA WAUZA MAGAZETI

Muuzaji wa magazeti wa eneo la Stendi ya Makumbusho akipokea muamvuli. Kushoto ni Afisa Usambazaji wa Global akimkabidi dada muuza magazeti wa eneo la Stendi ya Makumbusho.…

 

11 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA YATOA MSAADA YA MIAMVULI 20 KWA JESHI LA USALAMA BARABARANI‏

Mkaguzi Msaidi wa usalama barabarani kanda ya Kinondoni ,Byego Marwa  akipokea msaada wa miamvuli(20)kutoka kwa Menaja Uhusiano wa Umma wa  Vodacom Tanzania Matina Nkurlu, msaada huo utawawezesha askari wa usalama barabarani kujikinga na mvua wakiwa katika maeneo ya kazi,wanaoshuhudia wa pili kutoka kulia ni Tumaini  Kimaro, Simoni Lugangila na Emmanuel David. Hafla hiyo ilifanyika katika kituo cha Polisi Oysterbay...

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATOA SOMO KWA WACHOMA NYAMA JIJINI MBEYA

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kanda ya Mbeya na Rukwa, Cloud Chawene, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina ya Uchomaji Nyama Bora ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma.Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani Mbeya jana. Jaji Mkuu wa mashindano ya Safari Nyama Choma akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina ya Uchomaji Nyama Bora ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma.Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA YA MIAMVULI JIJINI DAR

 Msimu huu wa neema ya Mvua hapa jijini Dar ndicho kipindi muafaka kabisa kwa wafanyabiashara ndogondogo kubadili biashara zao.Pichani ni mmoja wa wafanyabiashara hao akiuza mwamvuli kwa mteja wake waliekuwa kwenye gari.mmoja wa wafanyabiashara hao akielekea kilingeni kwake baada ya kutoka kujumua miamvuli tayari kwa kuiuza kwa wateja wake.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL FUND ROUND 9 YATOA MABASI 6 KWA WIZARA YA AFYA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Charles Pallangyo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). …akipanda ndani ya basi.…

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YATOA FURSA KWA WAKAZI WA MBEYA NA SONGEA

Kupitia Semina za Fursa zinazoendelea kufanyika katika mikoa mbali mbali hapa nchini, Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) imekuwa ikitoa Elimu ya Hifadhi ya Jamii kwa wananchi na kuwahamasisha kujiunga na mfuko huo ili waweze kunufaika na mafao ya NSSF hususani matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake pamoja na mikopo kupitia SACCOS.
Fursa nyingine kutoka NSSF ambazo mwanachama anaweza kunufaika nazo ni pamoja na Pensheni ya uzeeni, Pensheni ya Ulemavu, Pensheni ya Urithi,...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL YATOA MEZA KWA WAUZA MAGAZETI KANDA YA ZIWA‏

Kampuni ya Global Publishers Ltd ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Amani, Championi na Ijumaa Wikienda hivi karibuni imegawa meza kwa mauza magazeti Kanda ya Ziwa zoezi ambalo ni endelevu. Pichani kulia ni Bi. Veronica Marwa, Bukuyu Joseph na wadau wa Global Kanda ya Ziwa wakati wa zoezi la kukabidhi meza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani