Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIASHARA YA MIAMVULI JIJINI DAR

 Msimu huu wa neema ya Mvua hapa jijini Dar ndicho kipindi muafaka kabisa kwa wafanyabiashara ndogondogo kubadili biashara zao.Pichani ni mmoja wa wafanyabiashara hao akiuza mwamvuli kwa mteja wake waliekuwa kwenye gari.mmoja wa wafanyabiashara hao akielekea kilingeni kwake baada ya kutoka kujumua miamvuli tayari kwa kuiuza kwa wateja wake.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GLOBAL YAGAWA MIAMVULI YA CHAMPIONI JIJINI MBEYA

Msomaji akijisomea Gazeti la Championi kwenye kivuli cha mwamvuli uliogawiwa kwa muuzaji wa magazeti maeneo ya  Uhindini jijini, Mbeya. Muuzaji wa magazeti akiwa na mwamvuli wenye nembo ya Championi baada ya kugawiwa Mbalizi stand,  Mbeya.…

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YATOA MIAMVULI KWA VENDOR JIJINI MBEYA

Wasomaji wa gazeti la Championi jijini Mbeya wakiendelea kusoma gazeti hilo katika Stendi ya Ilomba. Vendor (mwenye tisheti nyekundu) akimkabidhi gazeti la Championi…

 

9 years ago

Michuzi

NSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ABITAT JIJINI DAR ES SALAAM

Ofisa Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mselem Mwanamsoga akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Edward Sungura (kulia), wakati wa Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa yaliyoandaliwa na Umoja wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Uturuki (Abitat), yanayoendelea katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. (Picha na Francis Dande). Baadhi ya watu wakipata huduma katika banda la NSSF. Ofisa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi...

 

11 years ago

Michuzi

TIC kuongoza kongamano la siku mbili la uwekezaji na biashara jijini Dar

Mkurugenzi wa Huduma wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Bi. Nakuala Senzia (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki kuhusiana na kongamano la siku mbili la uwekezaji na biashara linalotarajiwa kuanza kesho jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Meneja Mawasiliano wa TIC Bi. Pendo Gondwe, (katikati) na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Paul Omara. Benki hiyo ndiyo inayodhamini mkutano huo. Meneja Mawasiliano wa TIC Bi....

 

10 years ago

GPL

MAONYESHO YA BIASHARA YAANZA VIWANJA VYA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR

Lango kuu la kuingilia katika viwanja hivyo. Moja ya mabanda ya maonesho ya biashara likiwa tayari kwa shughuli za maonyesho.
Mteja akiwa nje ya jengo la Chuo Kikuu Cha Dar…

 

11 years ago

Dewji Blog

FASTJET katika maonesho ya 38 ya Biashara viwanja vya Saba Saba‏ Jijini Dar

unnamed

Mmoja wa wateja wa Fastjet akipata maelezo ya huduma ya kununua Tiketi ya Ndege kupitia Mtandao wa simu.

unnamed (1)

Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet,  Lucy Mbogoro akitoa maelezo katika banda la Fastjet “Fastjet ni shirika ambalo linatoa huduma za usafiri wa ndege kwa bei ya chini kabisa, daima tunawajali wateja wetu na ndio maana tumewasogezea huduma karibu na walipo”

unnamed (2)

“Fastjet ni nzuri sana, ni watu wanaojali wateja, wanawasikiliza sana wateja wao kama sisi Wachungaji lakini kwa kweli ni...

 

10 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA BIASHARA KATIKA VIWANJA VYA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM.

 Wananchi wakiangalia kifaa kilichotengenezwa na Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ajili kusoma kiwango cha maji kwa  bei  uliyoweka na fedha yake unatumbukiza kisha maji yanaanza kutoka walipotembelea maonyesho ya 39  ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Madhari ya maonyesho ya 39  ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Wananchi wakiwa katika Harakati za kutembelea mabanda  ya maonyesho ya 39  ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu...

 

11 years ago

Michuzi

JK ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA, LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Banda la Jeshi la Magereza lililopo katika Uwanja wa Mwalimu Nyerere katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa, leo Julai 5, 2014 Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Sania Kigwe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia Mbogamboga aina...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete afungua Mkutano wa Baraza la Biashara Tanzania (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation Dkt. Reginald Mengi muda mfupi kabla ya kufungua na kuendesha mkutano wa nane wa Baraza la Biashara Tanzania (TNBC) katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 2, 2015   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation Dkt. Reginald Mengi muda mfupi kabla ya kufungua na kuendesha mkutano wa nane wa Baraza la Biashara Tanzania (TNBC) katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani