Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halmashauri yatenga ekari 10 za makaburi

HALMASHAURI ya Manispaa ya Morogoro imetenga kiwanja namba 675 kitalu ‘E’ chenye zaidi ya ekari 10 kilichoko kata ya Tungi kwa ajili ya makaburi. Utengaji wa kiwanja hicho umekuja baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mafuriko Nyumba ya Mungu yasomba ekari 20

ZAIDI ya ekari 20 za mazao ya aina mbalimbali, ikiwamo vitunguu na mahindi pamoja na nyumba ambazo idadi yake haijulikani katika vijiji vya Jitengeni na Mvungwe wilayani Same, zimeharibiwa na mafuriko kutoka bwawa la Nyumba ya Mungu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba

Mvua ya mawe iliyonyesha jana alasiri katika Kijiji cha Isansa, Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kwa zaidi ya dakika 40, imeezua mabati ya nyumba na kuharibu zaidi ya ekari 300 za mashamba.

 

9 years ago

Mwananchi

Ndugu wa Dk Salmin atapeliwa ekari 150 za ardhi

Mmoja wa wanafamilia ya Rais wa tano wa Zanzibar, Dk Salmin Amour ametapeliwa kwa kuuziwa ekari 150 za ardhi wilayani hapa Mkoa wa Tanga.

 

9 years ago

Michuzi

EKARI 7000 ZA MASHAMBA KUGAIWA KWA WANANCHI WA ARUSHA.

SERIKALI imetwaa jumla ya Ekari 7000 baada ya ubatilishwaji wa Mashamba ya Tanzania plantatition limited yaliyokua yakimilikiwa na mwekezaji  kutoka nje ,mashamba hayo yanatajiwa kugawanywa kwa wananchi 2000 wenye uhitaji wa ardhi ya makazi na mashamba .
Aidha baada ya ubatilishwaji wa mashamba hayo Arusha imepata ekari 6176.5 na Halmashauri ya Meru ekari 925  hivyo kufikia ekari 7101 ambazo zitagawanywa kwa wananchi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi,Wiliam Lukuvi wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Ekari 10 zachukuliwa na mradi wa gesi kwa Sh300,000 tu

Wakati Watanzania wakisubiri kufaidika na gesi asilia iliyogunduliwa mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara, rasilimali hiyo sasa imegeuka shubiri kwa baadhi ya wananchi kutokana na maandalizi yake.

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MRISHO MPOTO: ATENGA SHAMBA EKARI 35, KUSAIDIA VIJANA KIMUZIKI

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipoelezea safari ya mwisho ya mama yake mzazi (marehemu), maneno aliyomwambia kuhusiana na maisha na ndicho kitu anachojivunia hadi sasa. Lakini pia Mrisho alikuwa amegusia kidogo walivyofungua kampuni na mwenzake lakini wakaishia kupelekana mahakamani na hatimaye wakagawana mali na hapo ndipo alipoanzisha kampuni nyingine ya Mpoto Gallery...

 

10 years ago

StarTV

Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

 

Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.

Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AJIBU BARUA YA KIKONGWE, AAMURU APEWE EKARI, BIBI AMSHUKURU (+VIDE)


Kikongwe wa Miaka 89 amekabidhiwa shamba la ekari moja na kiwanja cha makazi Kwa maelekezo ya Rais Magufuli baada ya kumuandikia barua na kumlalamikia eneo lake kutwaliwa na kujengwa mnada mwaka 1999.Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya wamefika Kijiji cha Kimashuku na kumkabidhi Bi Hawa Juma Shila eneo hilo huku Dc akimtaka Afisa Ardhi kuanza haraka utaratibu wa kumkabidhi hati ya eneo hilo aliloonyeshwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mvua kubwa zaaribu zaidi ya ekari 10 za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida!!

SAM_0054

Vifaa vya  kufungua maji ili yaweze kusambazwa katika vito vya kusambazia maji ili wananhi waweze kuanza kunufaika na mradi huo ambao mpaka sasa haijulikani huduma hiyo itaanza kutolewa lini maana mkandarasi licha ya mkandarasi kutomaliza kazi,vile vile hajulikani alipokwenda.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

Na,Jumbe Ismailly,

[SINGIDA] Mvua  kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Singida zimeharibu zaidi ya ekari kumi za mashamba ya wakulima 30 wa Kijiji cha Mtipa,Manispaa ya Singida kufuatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani