Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajenga baa katikati ya makaburi

MKAZI wa Mtaa wa Misufini, Kata ya Nyasa, Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Innocent Mtaro anatuhumiwa kujenga baa katikati ya makaburi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ODAMA AJENGA KABURI LA RECHO

Stori: Gladness Mallya UPENDO! Shosti mkubwa wa marehemu Recho Haule, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amejitolea kujenga kaburi la rafiki yake huyo aliyefariki mapema mwaka huu. Shosti mkubwa wa marehemu Recho Haule, Jennifer Kyaka ‘Odama’ akilitunza kaburi la aliyekuwa rafiki yake. Akizungumzia tukio hilo, Odama alisema kama rafiki yake kipenzi aliguswa kumfanyia kitendo hicho hivyo akashirikiana na aliyekuwa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi

NA PETER KATULANDA, BUSEGA.
VITENDO vya mauaji ya kikatili kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wilayani Busega, vimemsukuma Mbunge wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani, kuanzisha ujenzi wa kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu huo.

Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.

Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Nzigilwa ajenga matumaini makubwa kwa Katiba ijayo

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kuwa anaamini changamoto iliyojitokeza katika Rasimu ya Katiba Mpya itakuwa imerekebishwa katika rasimu ijayo na Katiba itakuwa nzuri.

 

9 years ago

Michuzi

Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara

Mmoja ya washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa inaendeshwa na Vodacom Tanzania iliyomalizika mwezi Aprili mwaka huu Irene Mrema, amesema tangu aibuke na ushindi amepata mafanikio makubwa mojawapo ikiwa ni kuweza kujenga nyumba ya kuishi na familia yake maeneo ya Goba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. “Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunikwamua kimaisha kupitia Jaymillion ya Vodacom kwa kuwa imeleta mafanikio makubwa katika maisha yangu na...

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar

MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.

 

10 years ago

Michuzi

MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR

 Huu ni moja kati ya Minara ya awali kabisa hapa jijini Dar es salaam.Mwenye kujua zaidi juu ya hisroria ya mnara huu atumwagie vitu hapa.

 

10 years ago

GPL

MILIPUKO YAUA WATU 30 KATIKATI YA NIGERIA

Watu wasiopungua 30 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea karibu na kituo cha basi katika mji wa Jos, ulioko katikati mwa Nigeria.  Walioshuhudia wanasema, bomu la kwanza lilitegwa kwenye kibanda cha kuuzia chakula na la pili karibu na mlango wa kuingilia katika soko la Termus kwenye mji huo. Duru za usalama za Nigeria bado hazijasema milipuko hiyo ya mabomu imesababishwa na kundi gani, lakini kundi la Boko...

 

9 years ago

BBCSwahili

Apiga picha katikati ya mbio za magari

Kijana raia wa Uingereza ambaye aliingia katika njia ya magari yakiwa kasi Mahakama ya Singapore imemtupa jela wiki sita jela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani