Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ODAMA AJENGA KABURI LA RECHO

Stori: Gladness Mallya UPENDO! Shosti mkubwa wa marehemu Recho Haule, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amejitolea kujenga kaburi la rafiki yake huyo aliyefariki mapema mwaka huu. Shosti mkubwa wa marehemu Recho Haule, Jennifer Kyaka ‘Odama’ akilitunza kaburi la aliyekuwa rafiki yake. Akizungumzia tukio hilo, Odama alisema kama rafiki yake kipenzi aliguswa kumfanyia kitendo hicho hivyo akashirikiana na aliyekuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PICHA ZA RECHO ZAMTESA ODAMA

Stori: Mwandishi wetu
STAA wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ anateswa na picha alizopiga na rafiki yake kipenzi, marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Staa wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ akiwa kwenye picha ya pamoja na marehemu Recho Haule. Picha hizo zinamuonesha Odama akiwa katika pozi tofauti ndani ya viwanja mbalimbali vya starehe kitu kinachomfanya kutamani kuzifuta...

 

11 years ago

GPL

ODAMA AELEZA ALIVYO KUTANA NA MAREHEMU RECHO

Makala: Erick Evarist
MTOTO mzuri mwenye asili ya Kihaya, Jenifer Kyaka ‘Odama’ aliyesoma shule ya msingi mkoani Kigoma kisha kuhamia jijini Dar na kupitia kozi tofautitofauti kabla kutupa karata yake katika anga la filamu ndiyo tupo naye leo katika Exclusive Interview. Mtoto mzuri mwenye asili ya Kihaya, Jenifer Kyaka ‘Odama’ akiwa na marehemu Recho Haule enzi za uhai wake. Awali, hakuwahi kuwaza...

 

10 years ago

GPL

KABURI LA RECHO LALOA MACHOZI!

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Roho inauma! Kwa mara nyingine, kaburi la aliyekuwa staa wa sinema za Kibongo, Rachel Leo Haule ‘Recho’ (pichani) limeloa machozi ya mastaa wakati wa kusimikwa msalaba baada ya kujengwa na kuonekana la kisasa, Ijumaa Wikienda lilikuwepo. Mchungaji akiongoza ibada ya kubariki na kuutakasa msalaba utakaowekwa kwenye kaburi la marehemu Recho Haule. Katika tukio hilo lililojiri...

 

10 years ago

Habarileo

Ajenga baa katikati ya makaburi

MKAZI wa Mtaa wa Misufini, Kata ya Nyasa, Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Innocent Mtaro anatuhumiwa kujenga baa katikati ya makaburi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi

NA PETER KATULANDA, BUSEGA.
VITENDO vya mauaji ya kikatili kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wilayani Busega, vimemsukuma Mbunge wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani, kuanzisha ujenzi wa kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu huo.

Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.

Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Nzigilwa ajenga matumaini makubwa kwa Katiba ijayo

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Nzigilwa amesema kuwa anaamini changamoto iliyojitokeza katika Rasimu ya Katiba Mpya itakuwa imerekebishwa katika rasimu ijayo na Katiba itakuwa nzuri.

 

9 years ago

Michuzi

Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara

Mmoja ya washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa inaendeshwa na Vodacom Tanzania iliyomalizika mwezi Aprili mwaka huu Irene Mrema, amesema tangu aibuke na ushindi amepata mafanikio makubwa mojawapo ikiwa ni kuweza kujenga nyumba ya kuishi na familia yake maeneo ya Goba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. “Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunikwamua kimaisha kupitia Jaymillion ya Vodacom kwa kuwa imeleta mafanikio makubwa katika maisha yangu na...

 

10 years ago

GPL

ODAMA AHOFIA KIFO

Na Imelda Mtema MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa kadri anavyosherehekea siku yake ya kuzaliwa ndivyo hofu ya kifo inavyozidi kumjaa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Odama alifunguka hayo juzi alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa katika Ukumbi wa Vijana ambapo alisema kutokana na hofu hiyo ndiyo maana aliamua kujumuika na watoto yatima....

 

10 years ago

GPL

ODAMA AMKANA PEDESHEE

Stori: Mayasa Mariwata Si kweli! Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amekanusha vikali madai ya kutembea na pedeshee mmoja anayedaiwa kuwa ni mmiliki wa baa moja iliyopo maeneo ya River-Side, Ubungo jijini Dar. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama'. Baada ya kusomewa madai hayo ambayo yamesambaa kwenye mitandao ya kijamii, Odama alikanusha vilivyo na kusema wanamsingizia tu.“Hee!...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani