ODAMA AELEZA ALIVYO KUTANA NA MAREHEMU RECHO
![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGYzQCe44kXWS6lTsyZOAaYj-g1kz1j4BNMo4nZEDacuE*Jj6JO-CRlg5aPXHBLmpXO5ynBkSuUv8s8ucshJj*KX/odam.jpg?width=650)
Makala: Erick Evarist MTOTO mzuri mwenye asili ya Kihaya, Jenifer Kyaka ‘Odama’ aliyesoma shule ya msingi mkoani Kigoma kisha kuhamia jijini Dar na kupitia kozi tofautitofauti kabla kutupa karata yake katika anga la filamu ndiyo tupo naye leo katika Exclusive Interview. Mtoto mzuri mwenye asili ya Kihaya, Jenifer Kyaka ‘Odama’ akiwa na marehemu Recho Haule enzi za uhai wake. Awali, hakuwahi kuwaza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZZRe-BUg83miIuaZyE1IeLgmiOrlBA8e-yA5uKVzYX3T9neGCpP2akBsObkajDJSxGXb5ZbY6XnvRehAm*yg7bG5TIG51DNh/odama.jpg)
ODAMA AJENGA KABURI LA RECHO
Stori: Gladness Mallya UPENDO! Shosti mkubwa wa marehemu Recho Haule, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amejitolea kujenga kaburi la rafiki yake huyo aliyefariki mapema mwaka huu. Shosti mkubwa wa marehemu Recho Haule, Jennifer Kyaka ‘Odama’ akilitunza kaburi la aliyekuwa rafiki yake. Akizungumzia tukio hilo, Odama alisema kama rafiki yake kipenzi aliguswa kumfanyia kitendo hicho hivyo akashirikiana na aliyekuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRkUcSoM68lKDXZ*1CpoQog4Ev02q89M15M2dPXyhE77LsLtoNYqRs1dPhnrBv0OuYYBBSiK5JCmPcTvJttW6x7a/RECHO.jpg)
PICHA ZA RECHO ZAMTESA ODAMA
Stori: Mwandishi wetu
STAA wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ anateswa na picha alizopiga na rafiki yake kipenzi, marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Staa wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ akiwa kwenye picha ya pamoja na marehemu Recho Haule. Picha hizo zinamuonesha Odama akiwa katika pozi tofauti ndani ya viwanja mbalimbali vya starehe kitu kinachomfanya kutamani kuzifuta...
10 years ago
BBCSwahili18 May
Askari wa Burundi aeleza alivyo hadaiwa
Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-sh2RV7I6idFe0J0UuedwiVIkEsqOt*7ObDnIRLjxlzjpewXp1y9fHU6l5VN8HAleeO7yAHUhswygLyOkAufwsD/HAFSA.jpg)
HAFSA AELEZA ALIVYO-TESWA NA MAUZAUZA
Stori: Mayasa Mariwata/Ijumaa Wikienda
MWANAMUZIKI aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja amefunguka kuwa alikuwa akiteswa na mauzauza ya kishirikina pindi alipokuwa katika majukwaa akiimba Bongo Fleva. Mwanamuziki aliyeamua kumgeukia Mungu na kuokoka, Hafsa Kazinja. Akipiga stori na paparazi wetu, Hafsa alisema alikumbana na mambo mengi sana ya ajabu ikiwemo kuona majoka makubwa jukwaani akiwa anatumbuiza na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lFpcI3mNsTU/VCxR6wgwFSI/AAAAAAAAcXU/zEkUTRaWjgU/s72-c/Diamond-Platnumz-Meninah-vibe-co-tz.jpg)
MENINAH AMWANIKA DIAMOND TENA!! AFUNGUKA MENGI KUHUSU MAHUSIANO YAO,AELEZA JINSI WEMA ALIVYO MPA PRESHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lFpcI3mNsTU/VCxR6wgwFSI/AAAAAAAAcXU/zEkUTRaWjgU/s640/Diamond-Platnumz-Meninah-vibe-co-tz.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1coDWYQAp9ykf0w9k4VAHHYj-PceWzRO67pOjEMZ5qWxbl4MHtOQ*XV4LbOA97NDo0qhU4cxFBAurBhELnJgPGqA/amanda.jpg?width=650)
AMANDA YAMKUTA YA MAREHEMU RECHO
Na Hamida Hassan
MMWIGIZAJI mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameamka na kushtuka akiwa amechanjwa chale na watu wasiojulikana kama alivyowahi kufanyiwa marehemu Recho. Mwigizaji mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizungumzia tukio hilo, Amanda alisema lilitokea siku ambayo dairekta mkongwe nchini George Tyson alipofariki dunia (Mei 30) ambapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfAXJx6jwyNOhIzaYtkZ2G50zOWfJzZcb-reMpNgx4bqEcss6QEbc90WBsi84O7jqr2LRH6E86ZLUCBRd3OK-Ku0/Mtitu.jpg)
MTITU AWALIPUA MASTAA MISA YA MAREHEMU RECHO
Na Hamida Hassan
Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu hivi karibuni aliwalipua wasanii wenzake na kusema kuwa inavyoonekana kwa Mungu hawapo kwani wamekuwa wakichenga kwenda kanisani na msikitini inapotokea kuna kisomo kwa ajili ya marehemu. Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effects, William Mtitu. Mtitu alizungumza hayo alipokuwa makaburini Kinondoni jijini Dar, kwenye misa ya mwaka mmoja ya marehemu Rachel Haule...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6JBqD9ldCPnGpbrlI2LiVYy0iuFpGB10gxydG86m1cZnj-bwWQvUYNWz5l*MNYcEmb8Rd89gphZ3mvIMY-rdnSd/IMG20140529WA0018.jpg?width=650)
NI VILIO, SIMANZI NYUMBANI KWA MAREHEMU RECHO
Miili ya marehemu Recho na mwanae ikiwasili nyumbani kwa marehemu eneo la Palestina jijini Dar.…
11 years ago
GPLMCHUMBA: MSINIUMIZE NA PICHA FEKI ZA MAREHEMU RECHO
Mume wa Marehemu Rachel aitwaye George Sagunda. Hapa ndipo alipozikwa marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Shimo dogo ndo alizikwa mtoto wake aliyefariki muda mfupi baada ya kumzaa!… Stori: Erick Evarist
MCHUMBA ambaye alifikia hadhi ya mume wa mwigizaji marehemu Sheila Haule…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania