Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ODAMA AHOFIA KIFO

Na Imelda Mtema MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa kadri anavyosherehekea siku yake ya kuzaliwa ndivyo hofu ya kifo inavyozidi kumjaa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Odama alifunguka hayo juzi alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa katika Ukumbi wa Vijana ambapo alisema kutokana na hofu hiyo ndiyo maana aliamua kujumuika na watoto yatima....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NISHA AHOFIA UZEE

GLADNESS MALLYA/mchanganyiko11 MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye alitumia muda wake mwingi katika maisha yake ya ujana kwa  kujirusha, amesema sasa yatosha na kwamba huu ni muda muafaka kutengeneza maisha yake ya baadaye. Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akipiga stori na gazeti hili, Nisha alisema kwa sasa ameamua kuachana na maisha hayo kwa vile umri unakwenda na ni vyema...

 

11 years ago

GPL

JOKATE AHOFIA HOMA YA DENGU

Na Shani Ramadhani
MWANAMITINDO maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O cha Sauzi, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameweka wazi hofu aliyonayo juu ya gonjwa hatari la Homa ya Dengu ambalo limeshika kasi katika jiji la Dar es Salaam. Mwanamitindo maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ Akizungumza na paparazi wetu juzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Shein ahofia kauli za CUF

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein amesema kauli zinazotolewa na viongozi wa CUF zina dalili ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi ahofia Tazara ‘kufa’

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), Ronald Phiri amesema mamlaka hiyo inaweza kufa endapo nchi washirika hawatawekeza mtaji mkubwa ili kuongeza uzalishaji.

 

11 years ago

GPL

BATULI AHOFIA KUPORWA BWANA

MCHEZA sinema mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Yobnesh Yusuf 'Batuli' akifunguka mambo mbalimbali alipolonga na wanahabari wa Global Publishers Ltd.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba ahofia deni la taifa

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuna uwezekano mkubwa wa Rais Jakaya Kikwete baada ya kustaafu kuacha nchi kwenye matatizo makubwa ya uchumi.

 

9 years ago

Mtanzania

Kardashian ahofia kupata kisukari

kim-kardashianNEW YORK, MAREKANI

MKE wa Kanye West, Kim Kardashian, amehofia kupata ugonjwa wa kisukari kutokana na ulaji wake wa ovyo wa vyakula vya aina mbalimbali kipindi hiki cha ujauzito wake.

Mrembo huyo anatarajia kupata mtoto wa pili kabla ya Desemba 26.

“Ninaamini nina afya njema, lakini kuna wakati najikuta nakula bila mpangilio hivyo naweza kupata ugonjwa wa sukari, ninaamini hali hii inatokana na ujauzito na ndiyo maana muda mwingi natamani kula,” alisema Kim.

Hata hivyo, mrembo huyo atakuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Rooney ahofia kufungwa Uswisi

Nahodha wa England, Wayne Rooney ana wasiwasi mkubwa wa ya mchezo wao wa leo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Ulaya (Euro 2016) dhidi ya Uswisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Thomas Tabane ahofia mapinduzi

Thomas Tabane ahofia kupinduliwa Lesotho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani