Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Shein ahofia kauli za CUF

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein amesema kauli zinazotolewa na viongozi wa CUF zina dalili ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CUF yaonya kauli za kuvunja Serikali ya Umoja Zanzibar

Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limelaani kauli ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana aliyoitoa katika mikutano yake Zanzibar na kusema kuwa ina lengo la kuvunja Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK).

 

10 years ago

Habarileo

Shein akumbusha viongozi kuchunga kauli zao

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria na si kwa matakwa binafsi ya baadhi ya wanasiasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Shein, Maalim Seif wapishana kauli waliosusia Baraza la Wawakilishi

Zanzibar/Dar. Wakati Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, ameunga mkono kitendo cha mawaziri na wajumbe wa CUF kususia baraza, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amekipinga.

 

10 years ago

Habarileo

Shein awatolea uvivu CUF

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema hakuna kundi au mtu mwenye uwezo wa kuipindua Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) au ile Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na atakayethubutu kuwaza au kupanga jambo hilo atakiona cha moto.

 

9 years ago

StarTV

Kelele Za Kumpinga Rais Shein Wabunge CUF wasema siyo utovu wa nidhamu

 

Wabunge wa Chama cha Wananchi CUF  wamesema kitendo cha kupiga kelele na kutolewa nje ya Bunge na Spika Job Ndugai wakati wa kumkaribisha Rais wa Zanzibar Dokta Ally Mohamed Shein  ni cha kikatiba na siyo cha utovu wa nidhamu kama kinavyotafsiriwa.

Wabunge hao wamemwomba Spika kuitisha bunge la dharula ili wapate nafasi ya kujadili mustakabari mzima wa kisiasa visiwani Zanzibar.

 Wabunge hao wamesema walifikia hatua hiyo,  baada ya kumwandikia barua Spika wa Bunge Job Ndugai ya kumuomba...

 

10 years ago

GPL

ODAMA AHOFIA KIFO

Na Imelda Mtema MTOTO mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa kadri anavyosherehekea siku yake ya kuzaliwa ndivyo hofu ya kifo inavyozidi kumjaa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Odama alifunguka hayo juzi alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa katika Ukumbi wa Vijana ambapo alisema kutokana na hofu hiyo ndiyo maana aliamua kujumuika na watoto yatima....

 

10 years ago

GPL

NISHA AHOFIA UZEE

GLADNESS MALLYA/mchanganyiko11 MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye alitumia muda wake mwingi katika maisha yake ya ujana kwa  kujirusha, amesema sasa yatosha na kwamba huu ni muda muafaka kutengeneza maisha yake ya baadaye. Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akipiga stori na gazeti hili, Nisha alisema kwa sasa ameamua kuachana na maisha hayo kwa vile umri unakwenda na ni vyema...

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...

 

11 years ago

GPL

BATULI AHOFIA KUPORWA BWANA

MCHEZA sinema mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Yobnesh Yusuf 'Batuli' akifunguka mambo mbalimbali alipolonga na wanahabari wa Global Publishers Ltd.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani