BATULI AHOFIA KUPORWA BWANA
MCHEZA sinema mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Yobnesh Yusuf 'Batuli' akifunguka mambo mbalimbali alipolonga na wanahabari wa Global Publishers Ltd.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HinRCa5zE2KDfH*8qimIlSx3Z829xiXrx*cC6-g0QWjKGPc2RYz8ybHtGYbHX7MD7fuiiu8wvKPeC3EKF70pDJv/batuli.jpg?width=650)
EXCLUSIVE INTERVIEW: BATULIAHOFIA KUPORWA BWANA
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Anusurika kuporwa bodaboda
DEREVA wa pikipiki, Selemani Willa (30), mkazi wa Kibaoni, Wilaya ya Kisarawe amenusurika kuporwa pikipiki na watu waliomkodi baada ya kumshambulia kwa nondo kichwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, ...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Washikiliwa na polisi baada ya kuporwa
JESHI la Polisi linawashikilia wafanyakazi wa Kiwanda cha Mtava kutokana na kudaiwa kula njama na kuhusika na uporaji wa sh milioni 5.9 uliotokea katika barabara ya Shaurimoyo na Nyerere jijini...
11 years ago
Habarileo06 May
Daladala 1,800 kuporwa tonge
DALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Ethiopia:Jamii ya Mursi kuporwa ardhi?
11 years ago
MichuziDEREVA AJERUHIWA NA KUPORWA GARI LA MAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZt9kHQIoaw/U4C4HN15zmI/AAAAAAAFkxc/rJWawTU-XEU/s1600/aporwa+gari2+(2).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.
Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]
The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.