Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI AHOFIA KUPORWA BWANA

MCHEZA sinema mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Yobnesh Yusuf 'Batuli' akifunguka mambo mbalimbali alipolonga na wanahabari wa Global Publishers Ltd.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

EXCLUSIVE INTERVIEW: BATULIAHOFIA KUPORWA BWANA

Makala: Shakoor Jongo na Joseph Shaluwa
NI nadra sana kumkuta akiwa amenuna. Sura yake mara zote ni yenye tabasamu, uso wake una nuru na ang’avu wakati wote. Macho yake ni kivutio kingine kwa mrembo huyu. Weka yote pembeni, kutana naye akiwa nyuma ya kamera utamkoma! Maneno ya kuanisha sifa zake ni mengi. Yobnesh Yusuph'Batuli'. Naweza kuandika ukurasa mzima, lakini hayo yatoshe kueleza ubora wa mwananadada huyu katika...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

11 years ago

Tanzania Daima

Anusurika kuporwa bodaboda

DEREVA wa pikipiki, Selemani Willa (30), mkazi wa Kibaoni, Wilaya ya Kisarawe amenusurika kuporwa pikipiki na watu waliomkodi baada ya kumshambulia kwa nondo kichwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Washikiliwa na polisi baada ya kuporwa

JESHI la Polisi linawashikilia wafanyakazi wa Kiwanda cha Mtava kutokana na kudaiwa kula njama na kuhusika na uporaji wa sh milioni 5.9 uliotokea katika barabara ya Shaurimoyo na Nyerere jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Daladala 1,800 kuporwa tonge

Meneja Uendeshaji wa Dart, Peter MunuoDALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).

 

10 years ago

BBCSwahili

Ethiopia:Jamii ya Mursi kuporwa ardhi?

Jamii ya Mursi yadai inalazimishwa kuondoka kupisha ardhi kwa ajili ya kilimo cha biashara

 

11 years ago

Michuzi

DEREVA AJERUHIWA NA KUPORWA GARI LA MAFUTA

Dereva wa gari la mafuta lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Karatu Stefano John (42) akiwa amejeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambapo waliondoka na gari hilo aina ya Scania lenye namba za usajili T 116 BKQ na tela namba T 959 AVH likiwa na lita elfu 40,000 za mafuta aina ya petroli. (Picha na John Gagarini,Globu ya Jamii,Pwani)

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar.

Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. NA MWINYI SADALLAH 23rd October 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia cha Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema chama chake hakitakubali kuporwa ushindi katika uchaguzi mkuu wa […]

The post Maalim Seif: Hatutakubali kuporwa ushindi Zanzibar. appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani