Ethiopia:Jamii ya Mursi kuporwa ardhi?
Jamii ya Mursi yadai inalazimishwa kuondoka kupisha ardhi kwa ajili ya kilimo cha biashara
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A70x8AEotZE/Xkvo9pUWRMI/AAAAAAALd7w/wVRSt053AuMqgYZx4NljSvXXBwSxIzheACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
SERIKALI YAKANUSHA KUPORWA ARDHI YA WANANCHI NA VIONGOZI WA UMMA
Serikali imekanusha taarifa ya kuporwa ardhi ya wananchi na viongozi wa umma kilichokuwa kiwanja NA 11 Eneo la Ununio katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam kama ilivyosambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Akikanusha kuporwa kwa eneo hilo leo jijini Dar es Salaam mbele wa waandishi wa Habari, Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo alisema taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kuporwa kwa eneo hilo siyo za kweli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0W9xQ3MjT7A/XkaBVX3z8RI/AAAAAAALdWY/moqTFGs3_m0MhfOyYXgMhc9ye4pBNQgOgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-11-1024x683.jpg)
MASAUNI ATEMBELEA CHUO CHA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHOGO NA KUFANYA MKUTANO NA WAKIMBIZI RAIA WANAOLALAMIKIA KUPORWA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0W9xQ3MjT7A/XkaBVX3z8RI/AAAAAAALdWY/moqTFGs3_m0MhfOyYXgMhc9ye4pBNQgOgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-11-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-2A-1024x682.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UgLUjuQwZfM/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Anusurika kuporwa bodaboda
DEREVA wa pikipiki, Selemani Willa (30), mkazi wa Kibaoni, Wilaya ya Kisarawe amenusurika kuporwa pikipiki na watu waliomkodi baada ya kumshambulia kwa nondo kichwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, ...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Washikiliwa na polisi baada ya kuporwa
JESHI la Polisi linawashikilia wafanyakazi wa Kiwanda cha Mtava kutokana na kudaiwa kula njama na kuhusika na uporaji wa sh milioni 5.9 uliotokea katika barabara ya Shaurimoyo na Nyerere jijini...
11 years ago
Habarileo06 May
Daladala 1,800 kuporwa tonge
DALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).
11 years ago
GPL02 Apr
BATULI AHOFIA KUPORWA BWANA
11 years ago
MichuziDEREVA AJERUHIWA NA KUPORWA GARI LA MAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZt9kHQIoaw/U4C4HN15zmI/AAAAAAAFkxc/rJWawTU-XEU/s1600/aporwa+gari2+(2).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HinRCa5zE2KDfH*8qimIlSx3Z829xiXrx*cC6-g0QWjKGPc2RYz8ybHtGYbHX7MD7fuiiu8wvKPeC3EKF70pDJv/batuli.jpg?width=650)
EXCLUSIVE INTERVIEW: BATULIAHOFIA KUPORWA BWANA