Lipumba ahofia deni la taifa
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuna uwezekano mkubwa wa Rais Jakaya Kikwete baada ya kustaafu kuacha nchi kwenye matatizo makubwa ya uchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Lipumba aonya serikali kuhusu IPTL, deni MSD
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka serikali kuacha mzaha wa kuchezea maisha ya watanzania katika upatikanaji wa mahitaji muhimu, ikiwa ni pamoja na dawa za tiba mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Deni la taifa lazidi kupaa
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Nini hatima ya deni la Taifa?
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mdee alia na deni la taifa
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), Halima Mdee, amesema kuwa katika kipindi cha miaka tisa ya utawala wa Rais Jakaya Kikwete, deni la Taifa limeongozeka kutoka sh trilioni saba...
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Deni la Taifa linapotiliwa shaka
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Deni la Taifa linapaa, serikalini ni matanuzi
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Dk. Slaa ataka deni la taifa lihakikiwe
SIKU chache baada ya serikali kukiri kupanda kwa deni la taifa ambalo sasa limefikia sh trilioni 27.04, kiasi ambacho kimeanza kuibua mjadala mkali juu ya mwenendo wa uchumi, Chama cha...
11 years ago
Habarileo30 Jan
Waziri asema deni la taifa la trilioni 27/- ni himilivu
SERIKALI imezungumzia deni la taifa la Sh trilioni 27.04 na kusema kuwa ni himilivu kwa sababu halijavuka wala kufikia kiwango cha ukomo cha kukopa kwa madeni yote; la ndani na la nje. Aidha, imesema matumizi ya mashine za kielektroniki (EFD) kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sahihi za hesabu za wafanyabiashara nchini, yameiwezesha Serikali kukusanya Sh bilioni 800 kwa mwezi, tangu kuanzishwa kwa matumizi hayo mwaka 2010.