Waziri asema deni la taifa la trilioni 27/- ni himilivu
SERIKALI imezungumzia deni la taifa la Sh trilioni 27.04 na kusema kuwa ni himilivu kwa sababu halijavuka wala kufikia kiwango cha ukomo cha kukopa kwa madeni yote; la ndani na la nje. Aidha, imesema matumizi ya mashine za kielektroniki (EFD) kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sahihi za hesabu za wafanyabiashara nchini, yameiwezesha Serikali kukusanya Sh bilioni 800 kwa mwezi, tangu kuanzishwa kwa matumizi hayo mwaka 2010.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa
10 years ago
Habarileo27 Feb
Pato la Taifa lafikia trilioni 21
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetangaza pato la taifa ambalo linaonesha kuwa thamani ya pato hilo katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka huu imefikia Sh trilioni 21.2.
10 years ago
Habarileo07 Nov
Mpango Maendeleo ya Taifa watengewa trilioni 5.8/-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira amewasilisha bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2015/2016, huku Serikali ikipanga kutumia Sh trilioni 5.8 kwa utekelezaji wa mpango huo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYxE5erONNI/VO8kY7uIGhI/AAAAAAAHGC0/-LvtUnxdJKg/s72-c/unnamedM.jpg)
PATO LA TAIFA LAONGEZEKA, LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.2.
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYxE5erONNI/VO8kY7uIGhI/AAAAAAAHGC0/-LvtUnxdJKg/s1600/unnamedM.jpg)
Aron Msigwa –MAELEZO.
Pato la Taifa (GDP) katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka 2014 limeongezeka hadi kufikia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT1UngaSaklNUUPvR2ZCiyHH3zjfAeWFEyyYWiIsg5*xeczjkC53egh1DB6arZ-tS8OpVYQbPerz5Vfk*vbNBRgM/NBS2.jpg)
PATO LA TAIFA LAONGEZEKA, LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.2.
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Lipumba ahofia deni la taifa
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Nini hatima ya deni la Taifa?
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Deni la taifa lazidi kupaa
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mdee alia na deni la taifa
MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), Halima Mdee, amesema kuwa katika kipindi cha miaka tisa ya utawala wa Rais Jakaya Kikwete, deni la Taifa limeongozeka kutoka sh trilioni saba...