Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo apewa kadi nyekundu kwa kupigana

Mchezaji nyota wa Real Madrid alipewa kadi nyekundi katika mechi dhidi Cordoba baada ya kumpiga mchezaji Edimar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi

Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia

 

10 years ago

BBCSwahili

Gervinho aomba msamaha kwa kadi nyekundu

Mchezaji wa Ivory Coast Gervinho ameomba msamaha baada ya kupewa kadi nyekundu kwa kumpiga mlinzi wa timu ya Guinea Naby Keita

 

10 years ago

GPL

ZITTO RASMI ACT, APEWA KADI NAMBA 007194, KUONGEA NA WANAHABARI LEO

Zitto Kabwe akikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa ACT. HAYAWI hayawi…Sasa yamekuwa licha ya kusemwa sana kwa muda mrefu juu ya kuhusishwa na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa yamekuwa kweli kwa Mbunge huyo baada ya jana Jumamosi ya Machi 21, kupokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake yenye namba 007194.
Zitto akionyesha kadi yake...

 

10 years ago

GPL

DIDDY AKAMATWA KWA KUPIGANA NA KOCHA AKIMTETEA MWANAYE

 Sean ‘Diddy’ Combs. RAPA Sean ‘Diddy’ Combs wa Marekani, ameachiliwa kutoka gerezani jijini Los Angeles jana, alikokuwa emeswekwa saa kadhaa baada ya kukamatwa kwa kupigana na kocha wa mchezo wa ‘American football’ katika Chuo Kikuu cha Los Angeles (UCLA) ambako mwanaye, Justin Combs, hucheza katika nafasi ya ulinzi. Diddy akiwa na mwanaye Justin Combs. Habari kutoka gerezani zimesema...

 

11 years ago

Bongo5

Ni marufuku kwa wanafunzi kupigana busu kwenye chuo kikuu cha Zimbabwe

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Zimbabwe hawaruhisiwi kupigana mabusu. Hiyo ni moja ya sheria kali kwenye chuo hicho. Uongozi wa chuo hicho umedai kuwa wanafunzi watakaokutwa kwenye pozi la kimahaba watachukuliwa hatua za kinidhamu. “Katika umri huu kusema siruhusiwi kumbusu au kumkumbatia mtu.. haiingii akilini,” mwakilishi wa wanafunzi wa chuo hicho, Tsitsi Mazikana aliiambia BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wanaovaa nguo nyekundu huvutia

Wanawake wanaovalia mavazi ya rangi nyekundu huwavutia sana wanaume ikilinganishwa na wale wanaovaa mavazi ya rangi nyengine.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mhe. Sitta apewa pongezi kwa kuliendesha Bunge Maalum la Katiba kwa utulivu na amani

PIX 1.

Sheikh Hemed Jalala akizungumza na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (hayupo pichani) wakati alipotembelea Bunge Maalum leo 03 Septemba, 2014 kwa ajili ya kumpongeza kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya.

Na Magreth Kinabo, Dodoma.

BAADHI ya viongozi wa dini wamempongeza Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kwa kitendo chake cha kuliendesha Bunge  hilo vizuri katika hali ya utulivu na amani.

Kauli hiyo imetolewa leo na  Sheikh Hemed Jalala kutoka Msikiti wa Ghadiir...

 

11 years ago

Bongo5

Rio Ferdinand apewa zawadi na Sir Bobby Charlton kwa kuitumikia Man United kwa miaka12

Beki wa zamani wa timu ya taifa ya England na Manchester United, Rio Ferdinand jana alizawadiwa tuzo ya heshima kwa kuitumikia timu yake hiyo ya zamani ya Manchester United kwa miaka 12 kabla ya kuhamia QPR msimu huu. Gwiji wa Manchester United, Sir Bobby Charlton ndiye alimkabidhi zawadi hiyo. Tukio hilo lilifanyika kabla ya mechi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani