Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA: HUU SI UJAUZITO JAMANI, TUMBO LIMEJAA MAJI

Na Haruni Sanchawa “MWANANGU dunia hii, hujafa hujaumbika. Kama huamini maneno hayo ya wahenga amini kupitia kwangu,” ndivyo alivyoanza kusema Mariam Manyata (57) mwenyeji wa Mkoa wa Manyara ambaye yupo Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji. Mwanamke huyo aliyebahatika kupata  watoto watano wa jinsia ya kike, anasumbuliwa na ugonjwa huo kwa miaka mitano sasa huku madaktari...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwisho wa mwaka huu, jamani taratibu

Kuna wakati niliwahi kufikiria kutotembea kabisa barabarani nyakati za mwisho wa mwaka kwa sababu tu nilikuwa nahisi kwamba hiki ni kipindi cha balaa kuliko vipindi vyote vya mwaka.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RADO: Mwili tu huu jamani! Mi’ sio mgomvi

KATI ya wasanii ambao wanafanya vizuri na kukimbiza katika tasnia ya filamu nchini, Simon Mwapagata ‘Rado’, ni mmoja wao. Mkali huyu ambaye alianza kusota kwenye sanaa ya uimbaji, aligeukia filamu...

 

11 years ago

GPL

MAMA ALIYEVIMBA TUMBO AFARIKI DUNIA

Stori: haruni sanchawa
YULE mwanamke aliyejulikana kwa jina la Mariam Manyata (57) ambaye aliandikwa kwenye gazeti hili  Toleo  Na. 838, Aprili 15  hadi  21, mwaka huu ukurasa wa 15 kwa kichwa cha habari HUU SI  UJAUZITO JAMANI, TUMBO  LIMEJAA MAJI, amefariki dunia. Mariam Manyata enzi za uhai wake. Mwanamke huyo (pichani) alifariki  dunia Mei 5, mwaka huu  katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jengo la...

 

10 years ago

GPL

MAMA: AWALI NILIJUA NINA UJAUZITO KUMBE SIYO

Stori:  Na Makogoro Oging’
Mama mmoja mkazi wa Kijiji cha Kipanga, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Flora Samweli Luvinga (24) hali yake ipo hatari baada ya kuvimba tumbo na kumsababishia maumivi makali.“Awali nilidhani ni mimba baadaye nikajua kuwa kumbe siyo bali ni ugonjwa ambao unanipa mateso kwa muda mrefu, sasa sijui hatima ya maisha yangu hapa duniani,” alisema Flora. Flora Samweli Luvinga (24)...

 

9 years ago

Bongo5

Tunda Man kuelezea kwa wimbo jinsi alivyomtesa mama yake wakati wa ujauzito wake

Tunda Man anatarajia kuachia wimbo mpya ‘Mama Kija’ utakaoelezea jinsi alivyomtesa mama yake wakati wa ujauzito. Tunda ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ameamua kuandika wimbo huo ili kuonyesha jinsi gani mama yake alivyoteseka kwaajili yake. “Napata hongera nyingi kutoka kwa watu wangu kwa sababu wanahisi mke wangu ni mjamzito,” alisema msanii huyo. “Lakini kitu ambacho […]

 

9 years ago

Michuzi

Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji

Meneja Mradi Ruvu chini Mhandisi Emmanuel Makasa (aliyevaa tai) akiongea na waandishi wa habari walipotembelea ujenzi wa bomba la maji kutoka Ruvu Chini kabla ya kusafirishwa kwenda jijini Dar es salaam.Fundi akiendelea na kazi ya kuunganisha na kuchomelea bomba la maji ambalo litasafirisha maji kutoka Ruvu Chini kwenda jijini Dar es salaam.Baadhi ya mitambo ya kusafisha maji ambayo yamesafishwa tayari kwa matumizi ya wananchi wa mikoa ya Dar es salaam na Pwani.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Mwananchi

Kumbe Bunge limejaa wabunge matapeli

Siku chache tu zilizopita tulihoji mpango wa Bunge kuwapeleka wabunge nje ya nchi mara kwa mara kufanya kile kinachoitwa ziara za kikazi na mafunzo.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Bunge limejaa majibu mepesi kwa maswali magumu

>Nimefuatilia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani