MAMA ALIYEVIMBA TUMBO AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlGJ*V8dByHhZ9G*m39vAg2EE-lpQFw7qm2I7iINsgO1xf7aC7WCznakLIPP28UUsHzmREhlbGomtfp-XnZFK2k/TUMBO.jpg)
Stori: haruni sanchawa YULE mwanamke aliyejulikana kwa jina la Mariam Manyata (57) ambaye aliandikwa kwenye gazeti hili Toleo Na. 838, Aprili 15 hadi 21, mwaka huu ukurasa wa 15 kwa kichwa cha habari HUU SI UJAUZITO JAMANI, TUMBO LIMEJAA MAJI, amefariki dunia. Mariam Manyata enzi za uhai wake. Mwanamke huyo (pichani) alifariki dunia Mei 5, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jengo la...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jun
Mama mzazi wa Zitto afariki dunia
MAMA mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, Shida Salum, amefariki dunia baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya saratani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mama mzazi wa Mh. Zitto Kabwe afariki dunia
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, asubui hii amefiwa na mama yake mzazi Bi Shida Salum, aliyeugua kwa muda mrefu.
Pichani ni Mama mzazi wa Zitto Kabwe enzi za uhai wake.
Taarifa ya msiba huu imethibitishwa na yeye mwenye Zitto Kabwe kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kama inavyosomeka hapo chini.
MO BLOG tunatoa pole kwa Zitto Kabwe, familia na wote walioguswa na msiba huu Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
10 years ago
GPLQ-CHILLAH AHAMAHAMA SHULE, MAMA YAKE AFARIKI DUNIA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PhotoGrid_1416578914975.jpg)
TANZIA: MAMA MZAZI WA DOGO ASLAY AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama mzazi wa mwanalibeneke Kazikupenda "KK" Chale afariki dunia leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-gExK7DuHLHU/U4zAIjD91ZI/AAAAAAAFnSU/rpj_07FrW5Q/s1600/unnamed+(31).jpg)
jina la Bwana Lihimidiwe - Amen
KK anaendesha blog ya Tembea Tanzania BOFYA HAPA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s72-c/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s400/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s72-c/mama+halima.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MAMA MZAZI WA SAID MDOE WA SALUTI5 AFARIKI DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5Ej3RD5PYs/UzotxxsfpuI/AAAAAAAFXnw/TNu9uLxH_-s/s1600/mama+halima.jpg)
Alipata homa kali Jumapili mchana, akapelekwa hospitali (IMTU) akapata matibabu na kuruhusiwa kurudi nyumbani. Hali yake haikuwa mbaya wala ya kutia mashaka.
Jumatatu akaamka vizuri na akashinda vizuri hadi saa 12 za jioni hali ipoanza kubadilika tena. Akafariki akiwa njiani kupelekwa hospitali. Msiba uko Dar es Salaam, Mbezi Beach Old...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuunER2dajpYRgtJiyxfabWo0kNKHlzYQCVSYBpBbN5q3enmMxUmV6OOrUhW4K2d1h*cuX7er4nECU9SQUaZh9Ry/FRONTUWAZI.gif?width=650)
WA 3 WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10 NA MAMA YAO MMOJA AFARIKI DUNIA