Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbe Bunge limejaa wabunge matapeli

Siku chache tu zilizopita tulihoji mpango wa Bunge kuwapeleka wabunge nje ya nchi mara kwa mara kufanya kile kinachoitwa ziara za kikazi na mafunzo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Bunge limejaa majibu mepesi kwa maswali magumu

>Nimefuatilia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Matapeli wawazengea wajumbe Bunge Maalumu

Watu wanaodhaniwa kuwa matapeli wamevamia mji wa Dodoma, wakionekana kuwalenga wajumbe wa Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Michuzi

Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisoma hotuba yake ya shukrani kwa wajumbe wa Mkutano wa 36 wa Bunge la SADC ambao ni Maspika na Wabunge kutoka Mabunge ya nchi wanachama wa wa SADC baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Bunge hilo kwa miaka miwili ijayo Mjini Victoria Falls, Zimbabwe. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akielekezwa jambo na Katibu Mkuu wa Bunge la SADC Dkt. Esau Chiviya mara baada ya kukalia kiti cha Urais wa Bunge hilo baada ya kuchaguliwa rasmi kuwa rais wa Bunge hilo.Spika wa...

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO

Mwenyekiti wa Wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wa Tanzania, Adam Kimbisa, akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka Spika wa Bunge hilo. Kulia ni mbunge wa bunge hilo, Twaha Taslima na Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji. Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka...

 

11 years ago

GPL

MAMA: HUU SI UJAUZITO JAMANI, TUMBO LIMEJAA MAJI

Na Haruni Sanchawa “MWANANGU dunia hii, hujafa hujaumbika. Kama huamini maneno hayo ya wahenga amini kupitia kwangu,” ndivyo alivyoanza kusema Mariam Manyata (57) mwenyeji wa Mkoa wa Manyara ambaye yupo Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa maji. Mwanamke huyo aliyebahatika kupata  watoto watano wa jinsia ya kike, anasumbuliwa na ugonjwa huo kwa miaka mitano sasa huku madaktari...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge watano watikisa Bunge la 19

Wabunge watano wamelitikisa Bunge tangu mkutano wa 19 wa Bunge ulipoanza kutokana na michango yao binafsi katika mijadala ya miswada ya sheria mbalimbali iliyowasilishwa bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wapigana ndani ya Bunge

Bunge la KenyaWABUNGE wa Bunge la Kenya, jana walizua tafrani baada ya kutofautiana katika mjadala wa Muswada wa Usalama, kiasi cha baadhi yao kupigana na kusababisha shughuli za Bunge kuahirishwa kwa muda.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wa Bunge la Katiba waaswa

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutokuwa watumwa wa kupokea maagizo ya vyama vyao vya siasa kwa hofu ya kupoteza madaraka, kwani wakifanya hivyo watakuwa hawatendei haki wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani