Mrithi wa Prof. Mwakyusa aandaliwa
WANANCHI wilayani Rungwe, Mbeya wamemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mbeya mjini, John Mwambigija kugombea Ubunge kuchukua nafasi ya Profesa David Mwakyusa (CCM). Wakizungumza kwa nyakati tofauti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Prof. Mwakyusa akerwa na majibu
MBUNGE wa Rungwe Magharibi, Prof.David Mwakyusa amekerwa na majibu ya mawaziri ambayo hayabadiliki na kutoa majibu sahihi. Hali hiyo ilijitokeza jana Bungeni alipokuwa akiuliza swali la nyongeza kwa nia ya...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Mume mgomvi aandaliwa mlo wa kondomu
Mwanamke mmoja mwenye watoto watatu katika wilaya ya kole nchini Uganda alimuandalia mumewe mlo wa mipira ya kondomu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s49gbw8Rx5w/VXg-P6fL33I/AAAAAAAAQxc/d64iMJmwbc8/s72-c/IMG-20150607-WA0049.jpg)
NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE, NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-s49gbw8Rx5w/VXg-P6fL33I/AAAAAAAAQxc/d64iMJmwbc8/s640/IMG-20150607-WA0049.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z_DuLtBqJAU/VXg9BOfJRjI/AAAAAAAAQxM/5_wFEcwz3mE/s640/20150609102655.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eRGxeAKREv4/VXg88nfNvOI/AAAAAAAAQw8/tzcnUOMVT7I/s640/20150609102655%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
GPLJK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni. Â Â Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pHeDt-gnpnw/VXg88mTXHDI/AAAAAAAAQw4/jDfAu7fwxR0/s72-c/20150609102655%2B%25281%2529.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE ,NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pHeDt-gnpnw/VXg88mTXHDI/AAAAAAAAQw4/jDfAu7fwxR0/s640/20150609102655%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z_DuLtBqJAU/VXg9BOfJRjI/AAAAAAAAQxM/5_wFEcwz3mE/s640/20150609102655.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eRGxeAKREv4/VXg88nfNvOI/AAAAAAAAQw8/tzcnUOMVT7I/s640/20150609102655%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--10eobYcy8M/VXg88fyd_qI/AAAAAAAAQw0/sD14-RBjj3Y/s640/20150609102655%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s49gbw8Rx5w/VXg-P6fL33I/AAAAAAAAQxc/d64iMJmwbc8/s640/IMG-20150607-WA0049.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
Waziri wa Madini na Nishati, Profesa Sospeter Muhongo. WABUNGE kwa pamoja wamekubaliana kuondoa maazimio 12 yaliyoletwa bungeni na Kamati ya PAC na kuleta maazimio mapya 8 ambayo yamekubaliwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema. Mojawapo ya maazimio hayo ni Mamlaka ya uteuzi kutakiwa iwawajibishe na kushauriwa kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo, Mwanasheria… ...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Ajenda 10 za mrithi wa JK
>Wakati mjadala wa majina ya watu wanaotaka kuwania urais umepamba moto, baadhi ya wasomi, wachambuzi na wasomaji wa gazeti hili wamesema badala ya kukimbilia majina, wagombea hao wanatakiwa kueleza jinsi gani watakavyokabiliana na ajenda 10 muhimu kwa maendeleo ya Taifa.
10 years ago
Mwananchi07 May
Wamsaka mrithi wa Lowassa
Katibu Mwenezi wa CCM mkoani Arusha, Isaack Joseph ametangaza kujitoa kwenye kinyang’anyiro cha kugombea ubunge katika Jimbo la Monduli mkoani Arusha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania