Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Mwakyusa akerwa na majibu

MBUNGE wa Rungwe Magharibi, Prof.David Mwakyusa amekerwa na majibu ya mawaziri ambayo hayabadiliki na kutoa majibu sahihi. Hali hiyo ilijitokeza jana Bungeni alipokuwa akiuliza swali la nyongeza kwa nia ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mrithi wa Prof. Mwakyusa aandaliwa

WANANCHI wilayani Rungwe, Mbeya wamemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mbeya mjini, John Mwambigija kugombea Ubunge kuchukua nafasi ya Profesa David Mwakyusa (CCM). Wakizungumza kwa nyakati tofauti...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)Ukumbi wa Diamond Jubilee ukiwa umefurika Wazee waliokuja kumsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Ukumbi ulifurika kila kona.
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...

 

10 years ago

GPL

MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI

Waziri wa Madini na Nishati, Profesa Sospeter Muhongo. WABUNGE kwa pamoja wamekubaliana kuondoa maazimio 12 yaliyoletwa bungeni na Kamati ya PAC na kuleta maazimio mapya 8 ambayo yamekubaliwa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema. Mojawapo ya maazimio hayo ni Mamlaka ya uteuzi kutakiwa iwawajibishe na kushauriwa kutengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo, Mwanasheria… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanazuoni akerwa na wanasiasa

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Benadetha Kilian amekerwa na tabia ya wanasiasa ya kuteka mjadala wa katiba akisema kitendo hicho kitazaa Katiba mbovu.

 

11 years ago

GPL

AUNT AKERWA NA MASHOGA

Stori: Emelder Tarimo KERO! Mtendea haki sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anakerwa sana na wanaume wenye hulka za kike (mashoga). Staa wa sinema za Kibongo Aunt Ezekiel. Akichonga na paparazi wetu, Aunt alisema mashoga wanamstaajabisha kwa jinsi wanavyojiweka na kujishaua katika jamii kitu ambacho anaamini ni tabia mbaya ambayo mtu anaweza kuiacha mara moja.
“Mashoga hunistaajabisha sana kwa kweli, kila...

 

11 years ago

GPL

SHEHE AKERWA NA SWAUMU...

stori: Chande Abdallah na eogratius Mongela SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameonesha kukerwa kwake na mastaa wa Bongo ambao ni Waislam na wanaishi na wenza wao bila ndoa, hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum. Akizungumza na mwandishi wetu juzi, Shehe Alhad alisema kwa mujibu wa imani ya Dini ya Kiislam, Muislam hupaswa kufunga mwezi mtukufu kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lulu akerwa na simu

MWANADADA anayetamba katika filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kero yake kubwa ni utumiaji wa simu za mkononi na anasumbuliwa sana na watu wasiokuwa na mambo ya msingi. Akizungumza...

 

9 years ago

Habarileo

RC akerwa na uchafu Tanga

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amesema haridhishwi na kiwango cha usafi wa mazingira katika mitaa ya jiji la Tanga licha ya halmashauri hiyo kupongezwa kwa kushika nafasi ya pili kwa usafi hapa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

JK akerwa polisi kubughudhi wananchi

>Rais Jakaya Kikwete jana alionekana kukerwa waziwazi na kitendo cha polisi kuwazonga na kuwasukuma wananchi waliokusanyika eneo la Jangwani kumsikiliza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani