Uhaba wa ajira wafikia pabaya
Historia imevunjwa. Uhaba wa ajira kwa wasomi na wataalamu wa kada tofauti umethibitishwa wakati wa usaili wa ajira za wakaguzi wasaidizi wa Idara ya Uhamiaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Simba, Messi wafikia pabaya
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
UTATA wa mkataba wa winga Ramadhan Singano ‘Messi’ na timu yake ya Simba sasa umefikia pabaya, baada ya pande hizo mbili kufikiria kushtakiana ili kusaka suluhu.
Wakati Messi akisaka ufumbuzi wa suala hilo kwenye Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (Sputanza), uongozi wa Simba unataka kumshtaki kama akiendelea kuichafua klabu hiyo kwenye vyombo vya habari.
Winga huyo bado hajakubaliana na Simba kuhusu kusaini mkataba mpya baada ya kudai mkataba wake wa...
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Dk Migiro aitetea Serikali uhaba wa ajira kwa vijana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Lowassa: Tumewakamata pabaya
*Sumaye asema hakuna wa kukifufua chama hicho
NA MAREGESI PAUL, KIOMBOI na Shabani Matutu Dar
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, amesema wamekikamata pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa Watanzania sasa wanataka mabadiliko.
Amesema pia kwamba, kitendo cha mamilioni ya Watanzania kutaka mabadiliko, pia kinaungwa mkono na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyewahi kusema Watanzania wanahitaji mabadiliko...
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Pistorius ajikuta pabaya klabuni
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Yanga yaishika pabaya Ahly
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI24CgyJIUtuxjMj3CsFBNkbcK2VEkF3jmb77X1R0vHQ1Tlb*YKa7qUCHbfjW9ngUiQAYQhs1PiQpk0hXDbTH1Of/lulu.jpg?width=650)
LULU, WEMA WAFIKA PABAYA
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Magufuli awashika pabaya wabunge
*Azuia safari zao nje ya nchi, watakiwa wawe na vibali
*Baadhi yao wajikuta wakikwama Uwanja wa Ndege VIP
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa watumishi wa Serikali bila kibali, safari hii kibao kimewagekia wabunge baada ya kuzuiwa kusafiri bila ruhusa maalumu, MTANZANIA imebaini.
Hali hiyo imeonekana kuwavuruga wabunge, kwani baadhi yao wamejikuta wakikwama katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada...