BAWACHA: Watumishi iburuzeni serikali mahakamani
MWENYEKITI wa Taifa wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), Halima Mdee, amewataka watumishi wa umma kuiburuza Serikali mahakamani endapo watakatwa mishahara yao kwa ajili ya ujenzi wa maabara bila wao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani
KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s72-c/123105.jpg)
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s640/123105.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s72-c/index%25281%2529.jpg)
TAKUKURU KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WATUMISHI SABA TPA ,WAKILI WA KUJITEGEMA KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA RUSHWA, UHUJUMU UCHUMI NA WIZI WA SH.BILIONI NANE
![](https://1.bp.blogspot.com/-iKklTQRdFHs/XuOgj_-2gqI/AAAAAAALtng/6bvdMD_H6CU8da__CoHKCO153VNRnhmOwCLcBGAsYHQ/s1600/index%25281%2529.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) pamoja na Wakili wa Kujitegemea kutoka Kampuni ya Mnengele &Associates na ELA Advocatee watafikishwa mahakamani wakati wowote kwa kushtakiwa kwa tuhuma za makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hayo yameelezwa leo Juni 12 mwaka 2020 na Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza Daud Ndyamukama kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari ambapo amefafanua watumishi hao tayari...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Serikali kuburuzwa mahakamani
ILIKWISHASEMWA na kufafanuliwa kwa kina; kwamba mkataba wa kitapeli wa miaka 20 kati ya kampuni y
Joseph Mihangwa
10 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kulikoni Serikali inazidi kubwagwa mahakamani?
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Serikali kumaliza matatizo ya watumishi
SERIKALI imesema inayo dhamira ya dhati ya kumaliza kero ya madai na malimbikizo kwa watumishi wa umma. Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani, amesema mpaka...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Serikali kukabiliana na watumishi wadanganyifu
SERIKALI imesema haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa halmashauri wanaofanya manunuzi kinyume cha bei zilizoko sokoni, hatua ambayo inachangia serikali kupata hasara. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi,...