Mwanzilishi wa IS auawa nchini Iraq
Runinga nchini Iraq zimeripoti kuwa Izzat Ibrahim al-Douri, ambaye wakati mmoja alikuwa makamu wa Rais Saddam Hussein na ambaye ametajwa kama nguzo ya mchipuko wa kundi la Islamic State nchini Iraq, ameuawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 May
IS yashambuliwa Iraq,kiongozi mkuu auawa
Waziri wa ulinzi wa Iraqi amesema kwamba kiongozi wa pili wa ngazi ya juu wa IS, ameuawa katika mashambulio ya anga
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
Vita vikali vyaendelea nchini Iraq
Mapigano yanaendelea katika mji uliopo kazkazini magharibi wa Tal Afar nchini Iraq
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yashambulia Tikrit nchini Iraq
Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kutekeleza mashambulizi makali, katika maeneo yenye wanamgambo wa Islamic State, huko Tikrit
10 years ago
BBCSwahili06 Sep
USA:hatutashirikiana na Iran nchini Iraq
Marekani imesema kuwa haina mpango wa kushirikiana na Iran kukabiliana na wapiganaji wa Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq
Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzjAFOsaWT0oINwcc-hZQP0m4UON*hkpkSMgMJzGhbZ-ZhAkOgMhOnXRv6sbVceGVni886NHkT7uF6V49hK8-ORu/yazid.jpg?width=650)
IS WAUA RAIA 300 WA YAZIDI NCHINI IRAQ
Raia wa Yazidi waishio nchini Iraq. KUNDI la wanamgambo wa Islamic State limewaua mateka takribani 300 ambao ni raia wa Yazidi kaskazini mwa Iraq.
Makamu wa rais nchini Iraq, Osama al-Nujifi ameyalaani mauaji hayo akiyataja kuwa ya kikatili. Taarifa zimeeleza kuwa watu hao waliuawa katika wilaya moja iliyo magharibi mwa mji wa Mosul siku ya Ijumaa. Wanamgambo wa Islamic State walithibiti maeneo yaliyo kaskazini mwa Iraq kwa...
10 years ago
BBCSwahili03 May
IS yawaua raia 300 wa Yazidi nchini Iraq
Maafisa nchini Iraq wanasema kuwa wanamgambo wa IS wamewaua mamia ya watu wa yazidi waliokuwa wakiwazuilia eneo lililo kaskazini mwa nchi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWpvjOFGHNQxL9ZL8sbxTB9uPLu-5E*r55-VH7xp09Bz1RloGs7KNrMQZuHJjfXut4pDu17QZwVPch1hNsopzJU/1.jpg)
ISIS WAWACHINJA WAPELELEZI WATATU MTAANI NCHINI IRAQ
Mmoja wa wapelelezi hao akichinjwa na mpiganaji wa ISIS. Mpiganaji huyo wa ISIS akimchinja mpelelezi mwingne. Pembeni kushoto ni mwili wa mwenzake. WATU watatu wanaodaiwa kuwa wapelelezi wameuawa kwa kuchinjwa na wapiganaji wa Kundi la ISIS nchini Iraq. Watu hao wanatuhumiwa kwa kulipepeleza kundi hilo kwa ajili ya serikali ya Iraq.…
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yn2_13CjDwQ/VVl0uDIS_GI/AAAAAAAA9k0/xe-_Ix_qA4o/s72-c/Ir.jpg)
KUNDI LA DOLA YA KIISLAM LAUTWAA MJI WA RAMADI NCHINI IRAQ
![](http://3.bp.blogspot.com/-yn2_13CjDwQ/VVl0uDIS_GI/AAAAAAAA9k0/xe-_Ix_qA4o/s640/Ir.jpg)
Mji wa Ramadi nchini Irak umetwaliwa na wapiganaji wa kundi la Dola ya Kiislam baada ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo kuzidiwa nguvu na kuondoka.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M9F4pAP8gJM/VVl0uFhilqI/AAAAAAAA9k4/qOO4o_YrEH8/s640/Ir1.jpg)
Vikosi vya askari polisi na jeshi la Irak vimelazimika kurudi nyuma baada ya siku kadhaa za mapigano makali.
Hata hivyo Marekani, imekanusha kutwaliwa kwa mji huo na kusema kuwa hali ni tete na kuongeza kuwa bado ni mapema mno kutoa taarifa ya uhakika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania