Al Shabaab ladai kuwaua wanajeshi 10
Ripoti kutoka Somalia zinasema kuwa kundi la wapiganaji wa jihad nchini humo Al Ashabaab limevamia kambi moja ya kijeshi na kuwaua takriban wanajeshi 10.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Al Shabaab ladai kuwaua askari wa Ethiopia
Kumekua na mapigano makali katikati mwa Somalia baina ya wanajeshi wa taifa hilo ,wanamgambo wa kiislam wa Alshaabab na wanajeshi wa Ethiopia
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Alshabaab ladai kuwaua wapelelezi wa USA
Wapiganaji wa kundi la Alshabaab kutoka Somalia wanasema kuwa wamewaua watu wanne wanaodaiwa kuwa wapelelezi wa Marekani
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20
Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnnul87d0RU2DaXV7g4zOVCAhYNc*F020BPTYZH9OE2rGZx9-v0wqt30bNgyGku4FFXNn2YJAxiXh6O-KeylmxSk/122.jpg)
AL SHABAAB WADAI KUWAUA POLISI ZAIDI YA 20 NCHINI KENYA
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Wanamgambo wa Al Sbaab wamekuwa wakitishia hali ya usalama nchini Kenya daaba ya kudai kuwaua askari zaidi ya 20 na kujeruhi mmoja baada ya kuwepo kwa mapigano makali kati ya Polisi na Wanamgambo wa Al Shabaab, Kaskazini Mashariki mwa Kenya. Wizara ya Usalama wa Taifa nchini Kenya imethibitisha kuwa askari mmoja amejeruhiwa wakati wa shambulizi la Wanamgambo wa kundi la Al Shabaab katika kijiji...
11 years ago
BBCSwahili26 May
Wanajeshi wa Kenya wauawa na Al Shabaab
Ripoti zinasema msafara wa wanajeshi wa Kenya ulikuwa ukielekea eneo la Ras Kamboni wakati shambulio hilo lilipotokea.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Jeshi la Misri ladai kuua kimakosa
Misri imesema jeshi lake la ulinzi limeuwa raia 12 kwa bahati mbaya
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Kundi ladai kuhusika kutatiza tovuti za BBC
Kundi moja linalosema limekuwa likikabiliana na shughuli za Islamic State (IS) mtandaoni limedai kuhusika katika kuvuruga tovuti za BBC majuzi.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Ajitoa mhanga na kuwaua 12 Somalia
Mlipuaji wa kujitoa mhanga amejilipua na kuwaua watu 12 katika msafara wa majeshi ya Muungano wa Afrika mjini Mogadishu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania