Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20

Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Genge lakiri kuwaua wanafunzi 40 Mexico

Mkuu wa sheria nchini Mexico anasema kuwa genge moja la wahalifu limekiri kuwaua zaidi ya wanafunzi 40 ambao waliotoweka

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab ladai kuwaua wanajeshi 10

Ripoti kutoka Somalia zinasema kuwa kundi la wapiganaji wa jihad nchini humo Al Ashabaab limevamia kambi moja ya kijeshi na kuwaua takriban wanajeshi 10.

 

9 years ago

BBCSwahili

IS lakiri kutekeleza shambulizi Misri

Bomu kubwa limelipuka karibu na makao makuu ya usalama kaskazini viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kufanya shambulizi

Polisi nchini Kenya wanasema wapiganaji wa Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya abiria 28

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kutekeleza shambulizi

Kundi la Al Shabaab nchini Somali limekiri kufanya mashambulizi ya abiria 28 katika basi moja kazkazini mashariki mwa kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la IS lakiri kutekeleza shambulizi Paris

Kundi la kigaidi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi la Paris.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS

Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni vita ya Taleban, Mpira Pesa

>Vita kubwa imeibuka katika harakati za uchaguzi wa viongozi wa Simba, huku matawi ya Taleban na Mpira Pesa yakianza kuonyeshana ubavu kwa kunadi wagombea wanaowania urais, Michael Wambura na Evans Aveva.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani