Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la IS lakiri kutekeleza shambulizi Paris

Kundi la kigaidi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi la Paris.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kutekeleza shambulizi

Kundi la Al Shabaab nchini Somali limekiri kufanya mashambulizi ya abiria 28 katika basi moja kazkazini mashariki mwa kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

IS lakiri kutekeleza shambulizi Misri

Bomu kubwa limelipuka karibu na makao makuu ya usalama kaskazini viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kufanya shambulizi

Polisi nchini Kenya wanasema wapiganaji wa Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya abiria 28

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yakiri kutekeleza shambulizi Texas

Kundi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas

 

10 years ago

Vijimambo

S yakiri kutekeleza shambulizi Texas-bbc

Shambulizi la Texas
Wapiganaji wa kundi la Islamic State wamekiri kwamba ndio waliotekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas nchini Marekani.

Kundi hilo limesema kuwa wapiganaji wawili wa kundi hilo walitekeleza shambulizi hilo katika mkutano uliokuwa karibu na mji wa Dallas.

Taarifa ya habari ya Redio ya kundi hilo Al-Bayan imesema kuwa maonyesho hayo yalikuwa yakionyesha picha mbaya kumhusu mtume Muhammad.

Washukiwa wote wawili walipigwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa shambulizi la Paris 'alikuwa mlevi'

Mshukiwa aliyeongoza mashambulio ya kigaidi mjini Paris Abdelhamid Abaaoud,alionekana akinywa pombe na kuvuta bangi na watu wengine nje ya nyumba yake.

 

10 years ago

Vijimambo

Shujaa Muislamu katika shambulizi Paris

Lassana Bathil

Mamia ya wanajeshi wanashika zamu mjini Paris baada ya siku tatu za ugaidi zilizouwa watu 17, huku taarifa zikitokeza kuhusu jinsi mfanyakazi Muislamu wa supermarket ya Wayahudi mjini Paris alivyowaficha wateja 15 pamoja na mtoto mchanga wa mwezi mmoja wakati duka hilo liliposhambuliwa na gaidi.





Aliwaficha wateja kwenye chumba cha barafu.Lassana Bathily, kijana wa asili ya Mali, aliiambia televisheni ya Ufaransa kuwa aliwaongoza wateja waliokuwa wamebabaika, hadi chumba cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

SHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani!

 

Paris-shooting (5)

Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris.

Na Rabi Hume na mashirika ya habari

Polisi waliokuwa wakikagua mashabiki wa mpira waliokuwa wakiingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani wameuambia mtandao wa Wall Street Journal kuwa kuna mshambuliaji wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani.

Polisi wamesema kuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

SHAMBULIZI LA PARIS: Mashindano ya EURO 2016 pale pale! -Waratibu

paris_france_eiffel_tower_a_l

Jiji la Paris nchini Ufaransa linavyoonekana ambapo baadhi ya vwanja vyake kadhaa vinatarajiwa kutimua vumbi hapo baadae katika michuano ya soka ya Ulaya maarufu kama EURO 2016.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari.

Mratibu wa Mashindano ya Euro kwa mwaka 2016, Jacques Lambert yanayotarajiwa kufanyika Ufaransa amesema kutokea kwa shambulio la Paris hakuwezi kuwa sababu ya kusimamisha mashindano ya Euro 2016.

Akizungumza na kituo cha redio cha Ufaransa cha RTL, Lambert...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani