Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Canada yatoa Chanjo ya Ebola

Canada imesema itatoa dozi 1,000 za chanjo ya majaribio ya Ebola ili kusaidia kupigana na mlipuko wa ugonjwa huo Afrika magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Canada kutoa chanjo ya majaribio

Serikali nchini Canada inasema kuwa itatoa hadi dosi 1,000 za chanjo ya majaribio ya ugonjwa wa Ebola kwa shirika la afya duniani WHO.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo mpya ya HIV yatoa mafanikio

Mbinu mpya ya chanjo imeonekana kuwakinga nyani dhidi ya virusi vya HIV ,ripoti ya wanasayansi wa Marekani imesema.

 

10 years ago

BBC

Canada to give WHO Ebola vaccine

Canada says it will donate up to 1,000 doses of an experimental Ebola vaccine to help battle the disease's outbreak in West Africa.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Canada offers Ebola help - 15 seconds

Canada's to donate experimental Ebola vaccine - in 15 seconds.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola yatolewa Mali

Kundi la wafanyakazi wa afya nchini Mali leo wanapewa chanjo ya majaribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Chanjo yaleta matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola, na kusema dawa zinaonesha kuwa salama na itasaidia mfumo wa kinga ya mwili kuvitambua virusi hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo dhidi ya Ebola ? WHO yafurahia

Shirika la afya duniani WHO, limesifia matokeo ya chanjo mpya ugonjwa wa Ebola, ambayo inatoa asilimia 100% ya kinga

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo dhidi ya Ebola yatolewa

Wanasayansi kutoka Chuo kikuu cha Oxford wameaza kutoa chanjo dhidi ya Ebola kwa binaadamu kwa mara ya kwanza

 

10 years ago

BBCSwahili

Juhudi za kusaka chanjo ya Ebola

Shirika la afya duniani linatarajiwa hii leo kujadili kuhusu njia za kupata fedha za kufadhili miradi ya kutengeza Chanjo za Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani