MWANAJESHI WA CANADA AUAWA
![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNU6XGSgOOjKNoKeLlAm4VGwpvUpZPDLV--VuPQC1XMrrN*xXmuNJE-o5UBqcMy2IkofTKJyAh9qCOS9gR2kjwPt/_78463771_78463770.jpg?width=650)
Mapigano yalianzia sehemu hii ya kumbukumbu ya vita tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi nchini Canada. Mwanajeshi ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi, ambapo mji huo mkuu upo chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mali:Mwanajeshi wa kulinda amani auawa.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mauaji Thailand: Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 mji wa Korat auawa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vG01xDoC0qM/XkuZOy8YZwI/AAAAAAACy44/lAAAvZiKvagoT4pDOvkri5ajG5dUG68hACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWANAJESHI AFIKISHWA KORTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vG01xDoC0qM/XkuZOy8YZwI/AAAAAAACy44/lAAAvZiKvagoT4pDOvkri5ajG5dUG68hACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mtuhumiwa huyo alifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa huo, Maria Batulaine, na kusomewa shtaka linalomkabili.
Mwanasheria wa Serikali, Abdulrahman Mohamed, alidai kuwa askari hao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wivu ndio unaodaiwa kusababisha mauaji hayo.
Mwanasheria huyo wa serikali...
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Hamas:Hatujateka mwanajeshi yoyote
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Gaza:Mwanajeshi wa Israel aliuawa
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mwanajeshi awauwa wenzake 3 Marekani
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s72-c/20151102022546.jpg)
MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s640/20151102022546.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Mwanajeshi’ mwingine JKT mbaroni
NA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
KATIBU wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokuwa wakiandamana kushinikiza Serikali kuwapatia ajira, Rinus Emmanuel amekamatwa jijini Dar es Salaam.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wao George Mgoba, kutekwa wiki iliyopita na kisha kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana.
Hata hivyo Mgoba alihamishwa kutoka Hospitali ya Amana, Ilala na kupelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ambapo anaendelea kupata...