Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAJESHI AFIKISHWA KORTINI

 Askari wa JWTZ Wilayani Nachingwea, Lindi Pascal Lipita(28), amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kumuua kwa kumpiga risasi Askari mwenzake ambaye ni Mpenzi wake Baserisa Ulaya.
Mtuhumiwa huyo alifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa huo, Maria Batulaine, na kusomewa shtaka linalomkabili.
Mwanasheria wa Serikali, Abdulrahman Mohamed, alidai kuwa askari hao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wivu ndio unaodaiwa kusababisha mauaji hayo.
Mwanasheria huyo wa serikali...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI



Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA KIBAHA PWANI AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI

MFANYABIASHARA,  Salum Rajabu Selemani (51), anyeishi Kibaha Pwani, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na utakatishaji wa USD 898,000.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Easter Martin mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Rashid Chaungu imedai kuwa, kati ya Aprili Mosi na 20, mwaka huu ndani ya jiji la Dar es Salaam, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro  na...

 

5 years ago

Michuzi

MKAZI WA DODOMA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA MASHTAKA MAWILI LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI FEDHA

Mkazi wa Dodoma, Fredrick Nachipyangu(40) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka mawili, likiwamo la kutakatisha fedha kiasi cha Sh. Milioni 33.

Mshtakiwa Nachipyangu, amesomewa mashtaka yake leo Juni 10, 2020 Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Kasian Matembele.

Imedaiwa kuwa, April 24, 2015 huko katika benki ya CRDB tawi la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, mshtakiwa kwa njia ya udanganyifu alijipatia USD 14,320...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA

Na Karama Kenyunko- Michuzi TV

MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.

Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK afikishwa The Hague

KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), mjini The Hague, Uholanzi kwa madai ya kutoa kauli zenye...

 

10 years ago

GPL

MWANAJESHI WA CANADA AUAWA

Mapigano yalianzia sehemu hii ya kumbukumbu ya vita tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi nchini Canada. Mwanajeshi ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi, ambapo mji huo mkuu upo chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.…

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI

 Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba akiwa kwenye kizimba cha mahakama tayari kusomewa shitaka linalomkabili. Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, akiwa kwenye chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo mchana wakati alipofika kusomewa shitaka la kesi yake ya jinai kwa kuwashawishi wafuasi wake kufanya fujo baada ya kutiwa mbaroni jana alipokuwa akiongoza maandamano ya wanachama wa CUF. Mwenyekiti wa Chama cha Wanachi CUF, Prof Ibrahim haruna Lipumba akiwa...

 

9 years ago

Michuzi

MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA

Mwanajeshi feki wa jeshi la wananchi(JWTZ)amekamatwa leo Mkoani Kigoma akiwa amevaa sare za jeshi hilo.
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanajeshi awauwa wenzake 3 Marekani

Miaka mitano baada ya tukio la kwanza mwanajeshi mwengine amewaua wenzake watatu kwa risasi Fort Hood Texas

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani