MWANAJESHI AFIKISHWA KORTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vG01xDoC0qM/XkuZOy8YZwI/AAAAAAACy44/lAAAvZiKvagoT4pDOvkri5ajG5dUG68hACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Askari wa JWTZ Wilayani Nachingwea, Lindi Pascal Lipita(28), amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kumuua kwa kumpiga risasi Askari mwenzake ambaye ni Mpenzi wake Baserisa Ulaya.
Mtuhumiwa huyo alifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa huo, Maria Batulaine, na kusomewa shtaka linalomkabili.
Mwanasheria wa Serikali, Abdulrahman Mohamed, alidai kuwa askari hao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wivu ndio unaodaiwa kusababisha mauaji hayo.
Mwanasheria huyo wa serikali...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s72-c/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
MFANYABIASHARA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I6ZObg_5YAw/XrqTXob9r9I/AAAAAAALp7Y/hfcfVEY5WIocLGZab-3n8bPe-rtQH_F8QCLcBGAsYHQ/s400/fd967115-ecc6-41a7-90ea-6bb56b6dbd9d.jpg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
MFANYABIASHARA, Edgael Lema (43) mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka nane likiwemo la kukutwa na magogo yenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 383.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo na Wakili wa Serikali Mwamdamizi Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rH6-6T41qQY/XvDkQO2O_-I/AAAAAAALu_o/FOPhfwu8INM04xP4hx5A-HhvaET-FeP0gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B5.02.19%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MFANYABIASHARA KIBAHA PWANI AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Easter Martin mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Rashid Chaungu imedai kuwa, kati ya Aprili Mosi na 20, mwaka huu ndani ya jiji la Dar es Salaam, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LI9Aei6LUug/Xt-nlLifuQI/AAAAAAALtNg/LQCLcr5OOoQyC92Rn7ZEuNrutlLizBJJACLcBGAsYHQ/s72-c/294.jpg)
MKAZI WA DODOMA AFIKISHWA KORTINI AKIKABILIWA NA MASHTAKA MAWILI LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI FEDHA
Mshtakiwa Nachipyangu, amesomewa mashtaka yake leo Juni 10, 2020 Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Kasian Matembele.
Imedaiwa kuwa, April 24, 2015 huko katika benki ya CRDB tawi la Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, mshtakiwa kwa njia ya udanganyifu alijipatia USD 14,320...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
JK afikishwa The Hague
KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), mjini The Hague, Uholanzi kwa madai ya kutoa kauli zenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNU6XGSgOOjKNoKeLlAm4VGwpvUpZPDLV--VuPQC1XMrrN*xXmuNJE-o5UBqcMy2IkofTKJyAh9qCOS9gR2kjwPt/_78463771_78463770.jpg?width=650)
MWANAJESHI WA CANADA AUAWA
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s72-c/20151102022546.jpg)
MWANAJESHI FEKI ABAMBWA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-QrXJJ3opWkU/Vjc72W77YpI/AAAAAAAID5Y/kClZffxD6_A/s640/20151102022546.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya tukio hilo kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma Fednandi Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo feki alikamatwa jana eneo la kazuramimba katika Wilaya ya uvinza.
Mtui alisema kuwa mwanajeshi huyo alitambulika kwa jina la James Charles miaka 27 mkazi wa kijiji cha Nyamori alikamatwa baada ya kuwepo kwa taarifa kutoka kwa raia wema juu ya utapeli...
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mwanajeshi awauwa wenzake 3 Marekani